HARUFU Platinum Member Jan 21, 2014 31,552 48,148 May 26, 2017 #21 Kweli Jeuri Dawa yake ni Kiburi... "Ndio" Nami ntabaki Mbishi mpaka nilione Kaburi... Wako wapi walionicheka Shuleni nilipofeli... Pilika zangu Mtaani zimenifikisha mbali... "Ndio"
Kweli Jeuri Dawa yake ni Kiburi... "Ndio" Nami ntabaki Mbishi mpaka nilione Kaburi... Wako wapi walionicheka Shuleni nilipofeli... Pilika zangu Mtaani zimenifikisha mbali... "Ndio"
white hat JF-Expert Member Dec 16, 2016 3,323 2,487 May 27, 2017 #22 Safi sana Saa mbovu Hawa jamaa wanazungua sana
kadagala1 JF-Expert Member Nov 23, 2016 5,941 6,213 May 27, 2017 #23 ngombelee said: Click to expand... Hio nzuri sana
kadagala1 JF-Expert Member Nov 23, 2016 5,941 6,213 May 27, 2017 #24 Nleterewa Nganengo said: Aisee ile ratio ya mmoja kati ya wanne iangaliwe upya, huenda saivi ni 3:4. Click to expand...
Nleterewa Nganengo said: Aisee ile ratio ya mmoja kati ya wanne iangaliwe upya, huenda saivi ni 3:4. Click to expand...
kadagala1 JF-Expert Member Nov 23, 2016 5,941 6,213 May 27, 2017 #25 kikale said: Huyo saa mbovu yupo right Click to expand... Hii avatar yako ndo inazidi kunichekesha
ikhatibu JF-Expert Member Nov 14, 2013 2,358 2,273 May 27, 2017 #26 safi sana. Mitandao ya sim ina kera kwa sms zao za matangazo
muxar JF-Expert Member Aug 23, 2015 1,643 1,330 May 27, 2017 #30 Sasa hapo kwa mbele angewaandikia na namba yake ya simu kabisa...