Kazi za waziri wa eac sitta ni nini????? Vikao vinafanyika ata kutoa taarifa; toa msimamo wa serikali anakaa kimya; sioni kwa akili yangu anamkomoa jakaya kikwete ila anakomoa watanzania. Rwanda waziri na anajibu kwa niaba ya rais kp
Wewe na Dr. Slaa akili zenu hazina tofauti...
Tanga...
1.We supported Kabila senior since the 60s, after the assasination of Patrice Lumumba. The aim was to establish a Socialist and democratic Congo, with the help of Che Guavara and Cuban Special forces, it didn't work because of the lack of committment from Kabila Troops coupled with CIA and other mercenaries supporting Mobutu. We were involved in the march to Kinshasa and subsequent training of Congo forces for a short period, before Kabila, walked out of the power sharing meeting held at Dar es salaam Sheraton Hotel. We somehow disowned him and RPF took over the military operations under Kabila.
2.Labda ungetuambia, kuhusu Mtikila, ila Ngara,BIHARAMULO na Geita zimekuwa over saturated na illegal immigrants. Siyo Mtikila peke yake hata wakazi wengi wa wilaya hizo wamekuwa wakilalamika .. crimes, land disputes, corruption etc. Something has to be done, dont you think?
3. Kwa watanzania, ni rahisi sana kumjua mhamiaji. Kwa mfano wewe ni mhamiaji, siyo mtanzania. We can easily spot them, ukiwa mtulivu poa, ukileta chokochoko huwa tunakuwa na roho mbaya sana, naomba mungu aepushie mbali.
4. Kuhusu mgogoro, we USED TO love and admire Kagame as a no nonsense president, he curbed corruption and helped change Rwanda a lot, we wanted a president like him. We used to (just few months ago) think that he's just like one of our own, we harbored RPF fighters. Kagame speaks good swahili na hata kwata za RPF zinapigwa kiswahili, wewe unadhani kuna kwata ya kitusi kwenye trainings za M23?, RPF?, NRA? .... HATA MAHI MAHI NA iNTERAHAMWE KWATA ZAO siyo za kiswahili.
Tunajua kuwa tumewatrain RPF, directly or indirectly, tumewakalisha na Habraymana na tumewafavor RPF from day one. Museveni is our own too, JWTZ, RPF na NRA NI brothers at arms kama walivyo FRELIMO na MPLA na SWAPO au hata ZANU fighters.... why would we want anything bad to happen to Rwandese??
AMEHARIBU NA AMEPOTEZA Heshima iliyokua mioyoni mwa watanzania, Tanzania is the most patriotic, the most Pan Africanist and above all those, the most blessed geographically and tactically to smash any surrounding "Districts" that dare disrespect, cause harm and/or move an inch of our borders ..... what makes it dangerous is, we know that and we grew up knowing that.
YOU GUYS NEED TO REALLY CHECK YOURSELVES, TALK TO YOUR COUNTRYMEN ..
Kobello,
Nimependa majibu yako. Ulipokosea tu ni pale unaponiita mhamiaji...niombe radhi kwa hilo! pm for further details if you wish.
1) Cha msingi sana ktk maelezo yangu nimehitaji time frame ili nijue misingi ya yanayoendelea sasa. Mfano, najua wahamiaji haramu ni tatizo ktk mikoa hiyo na nivyema kufanyike hatua mathubuti but the logic behind is why now and not in the past? Is the operation a retaliation to pk? if that is the case how fair it will be and the likeliness of that operation provoking the war between the two nations. I also wanted to know the link of Mtikila' findings and the current operations-which you technically escaped!
2) If you do not want any thing bad to Rwandise as they would wish to Tanzanians why then thinking of entering into war? Are'nt there other ways of settling our disputes peacefully?
3) Nimehoji sana ktk threads nyingine alichokifanya jk kwa muda wake wa miaka 10 akiwa waziri wa mambo ya nje na miaka 6 sasa ktk urais juu ya mgogoro wa waasi Rwanda na serikali ya pk. Kama hakuna historia ya upatanishi wa mgogoro huo then kwa nini kama Tanzania inataka kuingilia mgongoro huo isitumie mbinu za kidiplomasia? Sina huakika alichokifanya jk ads kilikuwa ktk mlengo huo.
4) I repeat, mgogoro huu si wakufikiria vita unless kunasababu za msingi (kejeri na matusi) hazijawa sababu za msingi otherwise wamarekani wangelimchapa Rais mstaafu wa Iraki na Chaves wa Venuzuela.
Lousie Mushikiwabo apewe kusoma diplomasia chuo cha diplomasia kurasini maana hana adabu ya kidplomasia. Hivi kesho akijikuta mkimbizi ngara atasemaje kwa tanzania?After Kikwete's speech, Rwandan Foreign Minister Louise Mushikiwabo was quoted by Radio France Internationale (RFI) suggesting Kikwete could be an FDLR sympathiser and was adamant that Rwanda would not negotiate with people it considers responsible for the 1994 genocide against Tutsis.
Ethnic Hutu militia and soldiers butchered 800,000 minority Tutsis and politically moderate Hutus in the tiny east African country in just 100 days between April and June 1994. Kikwete said he had been a target of insults and ridicule from Rwandan leaders, while also hearing a lot of "alleged plots" against Tanzania and himself. He did not elaborate.
"I would like to reiterate that neither I nor my government have any conflict nor any ill intentions towards Rwanda," he said.
A 17,000-strong U.N. force, known as MONUSCO, and Congo troops have struggled over the past decade to stem a conflict involving dozens of armed groups and complicated by national and ethnic rivalries. A new 3,000-member U.N. Intervention Brigade was recently deployed to fight and disarm rebels in the east.
(Writing by Drazen Jorgic; Editing by Alistair Lyon)
Hakuna anayetaka vita mkuu. Hii imewekwa wazi kwenye hotuba mbalimbali.1.We supported Kabila senior since the 60s, after the assasination of Patrice Lumumba. The aim was to establish a Socialist and democratic Congo, with the help of Che Guavara and Cuban Special forces, it didn't work because of the lack of committment from Kabila Troops coupled with CIA and other mercenaries supporting Mobutu. We were involved in the march to Kinshasa and subsequent training of Congo forces for a short period, before Kabila, walked out of the power sharing meeting held at Dar es salaam Sheraton Hotel. We somehow disowned him and RPF took over the military operations under Kabila.
2.Labda ungetuambia, kuhusu Mtikila, ila Ngara,BIHARAMULO na Geita zimekuwa over saturated na illegal immigrants. Siyo Mtikila peke yake hata wakazi wengi wa wilaya hizo wamekuwa wakilalamika .. crimes, land disputes, corruption etc. Something has to be done, dont you think?
3. Kwa watanzania, ni rahisi sana kumjua mhamiaji. Kwa mfano wewe ni mhamiaji, siyo mtanzania. We can easily spot them, ukiwa mtulivu poa, ukileta chokochoko huwa tunakuwa na roho mbaya sana, naomba mungu aepushie mbali.
4. Kuhusu mgogoro, we USED TO love and admire Kagame as a no nonsense president, he curbed corruption and helped change Rwanda a lot, we wanted a president like him. We used to (just few months ago) think that he's just like one of our own, we harbored RPF fighters. Kagame speaks good swahili na hata kwata za RPF zinapigwa kiswahili, wewe unadhani kuna kwata ya kitusi kwenye trainings za M23?, RPF?, NRA? .... HATA MAHI MAHI NA iNTERAHAMWE KWATA ZAO siyo za kiswahili.
Tunajua kuwa tumewatrain RPF, directly or indirectly, tumewakalisha na Habraymana na tumewafavor RPF from day one. Museveni is our own too, JWTZ, RPF na NRA NI brothers at arms kama walivyo FRELIMO na MPLA na SWAPO au hata ZANU fighters.... why would we want anything bad to happen to Rwandese??
AMEHARIBU NA AMEPOTEZA Heshima iliyokua mioyoni mwa watanzania, Tanzania is the most patriotic, the most Pan Africanist and above all those, the most blessed geographically and tactically to smash any surrounding "Districts" that dare disrespect, cause harm and/or move an inch of our borders ..... what makes it dangerous is, we know that and we grew up knowing that.
YOU GUYS NEED TO REALLY CHECK YOURSELVES, TALK TO YOUR COUNTRYMEN ..
Kobello,
Nimependa majibu yako. Ulipokosea tu ni pale unaponiita mhamiaji...niombe radhi kwa hilo! pm for further details if you wish.
1) Cha msingi sana ktk maelezo yangu nimehitaji time frame ili nijue misingi ya yanayoendelea sasa. Mfano, najua wahamiaji haramu ni tatizo ktk mikoa hiyo na nivyema kufanyike hatua mathubuti but the logic behind is why now and not in the past? Is the operation a retaliation to pk? if that is the case how fair it will be and the likeliness of that operation provoking the war between the two nations. I also wanted to know the link of Mtikila' findings and the current operations-which you technically escaped!
2) If you do not want any thing bad to Rwandise as they would wish to Tanzanians why then thinking of entering into war? Are'nt there other ways of settling our disputes peacefully?
3) Nimehoji sana ktk threads nyingine alichokifanya jk kwa muda wake wa miaka 10 akiwa waziri wa mambo ya nje na miaka 6 sasa ktk urais juu ya mgogoro wa waasi Rwanda na serikali ya pk. Kama hakuna historia ya upatanishi wa mgogoro huo then kwa nini kama Tanzania inataka kuingilia mgongoro huo isitumie mbinu za kidiplomasia? Sina huakika alichokifanya jk ads kilikuwa ktk mlengo huo.
4) I repeat, mgogoro huu si wakufikiria vita unless kunasababu za msingi (kejeri na matusi) hazijawa sababu za msingi otherwise wamarekani wangelimchapa Rais mstaafu wa Iraki na Chaves wa Venuzuela.
Ila, tuna kumbukumbu jinsi Idd Amin alivyoanza kwa kejeli na telegrams za kitoto, tunakumbuka jinsi Taliban ilivyoingia madarakani baada ya msichana mdogo wa ki-paSHTUN alipobakwa, machafuko ya Kenya baada ya vimaneno redioni ... etc.
Kagame is confused, and that shouldn't be taken lightly. Ukiangalia ile hotuba ya "I will hit you", utaona kabisa kuwa jamaa ameanza kuwa heavy drinker, anaongea luggishly na anacheua every coupled of minutes na hiyo siyo tunavyomjua our "dear Capitaine".
He is loosing it. And that make us nervous, and when we get nervous, thats when some crazy shit starts to happen.
" I PRAY FOR PEACE".
Baadhi yetu tulishasema mapema kuwa RPF na Paul Kagame ni hatari kwa eneo hili la KANDA ya maziwa makuu. Hapana shakka yoyote ile kuwa PK ni dictator na murderer. Mikono yake imejaa damu. HaKuna shaka kabisa kuwa ikiwa PK ataachiwa aendelee hivi bila 'kuchukuliwa hatua' tuko hatarini kwa suuala la amani.
Je, mnafahamu ni nani alimuua Laurent Kabila? Ni nani aliwaua kwa kutungua ndege iliyombeba Habyarimana na Rais wa Burundi? Ni nani alimuua kiongozi wa kwanza wa RPF? Sasa PK amemtishia maisha JK, tena bila hata aibu. Miezi michache kabla ya Laurent Kabila hajauawa, PK alitoa vitisho kama hivyo. Hivi PK ana tofauti na waliofanya genocide ya mwaka 1994?
Watanzania itabidi sasa tuwe macho. Nchini mwetu kwa sasa wako symphasizers wengi wa PK na Rwanda. Baadhi wamo mpaka serikalini na wengine mpaka kwenye vyombo vya dola. Ni hatari. PK ni lazima awaajibishwe.
Kimahesabu ni rahisi kuuondoa utawala wa PK. Unashamb ulia kugtoka pande tatu au nne. Unashambulia kutoka Congo, Tanzania na Burundi na pengine kutoka Uganda ingawa Museveni haaminiki. Haiwezekani watu milioni moja na nusu watawale watu milioni nane.
"Na mambo yalikuwa ovyo" kwa kuwa alikuwa mtu wa ovyo. Kumwita binadamu mtu wa Ovyo ni tusi, sasa nini kinachokusukuma wewe kumkingia kifua mtu wa ovyo kama nawe sio OVYONa mambo yalikua ya ovyo.Kwani aliweza sana?
Ben huwa nasoma na kufurahishwa na ujenzi wa hoja zako.
Mintaarafu dai hili, nimekuwa nakusoma sana katika suala la Kagame vs. JK na kugundua kwamba wakati mwingine 'uzalendo' ukiwekwa sukari nyingi unaweza ukageuka kuwa mchungu. Kwa watu wanaofuatilia kwa makini utendaji wa Mhe Rais Dr. JK katika nafasi yake ya urais (na sio vinginevyo) na wanataka kuwa wakweli watakubaliana kuwa anayo sehemu kubwa ya udhaifu. Kila binadamu ana udhaifu wa aina fulani. Kwa hivyo kusema Mhe JK ana udhaifu fulani sio dhambi wala kitu cha ajabu.
Kuhusu suala hili la Kagame vs JK, nimegundua kitu kimoja kikubwa kwamba sisi Wabongo ndio tunafikiria tu binadamu pekee wenye hisia na wengine ni 'marobot'! Nikizingatia kauli ambazo Mhe Rais Dr JK amewahi kuzitoa hadharani kuhusu masuala yetu ya humu humu ndani ya nchi na kutuacha baadhi yetu midomo wazi - mfano, "watoto wa shule wanaopata mimba wanazipata kwa sababu ya kiherehere chao" - kwa nini tusifikirie kuwa kauli aliyotoa kuhusu mgogoro wa ndani ya Rwanda nayo inaweza kuwaacha wanyarwanda 'midomo wazi'?
Kwa sababu nao ni binadamu wenye hisia kama tulivyo sisi wabongo. Hili sio sula la 'uzalendo' bali ni suala la 'umakini katika utawala'. Udhaifu wa JK umetumeza sote na tunafungia akili zetu katika makabati! Wanyarwanda may have a point - let's take a step back and give the whole issue a serious thought rather than being dragged into 'udhaifu' zone.
This is absurd. Yaani mkuu umetunga assay kwa kutumia mishaps za JK ili utuambukize chuki zako binafsi kwa JK. Tell us where JK went wrong on Rwanda issue. Judge him on that, only that. Don't go into garbage bin digging some dirty to prove that JK is wrong on Rwanda. If you have issues with JK start a specific thread on that and I am pretty much sure you will get some contributions from crying babies.
Don't wrap-up your non-patriotic argument by only saying we should take a step back without elaboration of the points to be considered with regards to the issue in question. Tell the great thinkers of JF where you think JK went wrong on Rwanda issue. So what are you saying; that Kagame has had no mishaps in his administration? That he has not consistently shown some weaknesses and wrong doings that qualify him insane? How many people Kagame kills per day, how many Kikwete kills? You do the math. How many Rwandese refugees abroad has Kagame caused? Travel to the US and Canada and tell me if Kagame has united the Tutsi and Hutus living in those country or see if the two tribes abroad have become friendlier during Kagame administration. So you still think Kagame is sane? We are told now that he kills anyone found to have some affiliation with Tz government officials in his army and government. Is JK killing any person that opposes him? Why should we question JK's ability to govern?
Kagame, for your information, never liked Tz since he got his gun bring him to power. This is due to the fact that Tz supports DRC in her struggle to free from foreign troops especially m23. Kagame believes that he can stay in power as long as m23 fight from DRC land. These are facts, facts that have nothing to do with JK's ability to govern Tz. So when you call for right minded JF members to question JK on Rwanda issue you just mark the lowest you can go. For, the impending war between Tz and Rwanda is historically rooted. It is irrespective of who rules Tz but Rwanda, if you wanna put it differently. The same goes for Malawi issue.
Ben huwa nasoma na kufurahishwa na ujenzi wa hoja zako.
Mintaarafu dai hili, nimekuwa nakusoma sana katika suala la Kagame vs. JK na kugundua kwamba wakati mwingine 'uzalendo' ukiwekwa sukari nyingi unaweza ukageuka kuwa mchungu. Kwa watu wanaofuatilia kwa makini utendaji wa Mhe Rais Dr. JK katika nafasi yake ya urais (na sio vinginevyo) na wanataka kuwa wakweli watakubaliana kuwa anayo sehemu kubwa ya udhaifu. Kila binadamu ana udhaifu wa aina fulani. Kwa hivyo kusema Mhe JK ana udhaifu fulani sio dhambi wala kitu cha ajabu.
Kuhusu suala hili la Kagame vs JK, nimegundua kitu kimoja kikubwa kwamba sisi Wabongo ndio tunafikiria tu binadamu pekee wenye hisia na wengine ni 'marobot'! Nikizingatia kauli ambazo Mhe Rais Dr JK amewahi kuzitoa hadharani kuhusu masuala yetu ya humu humu ndani ya nchi na kutuacha baadhi yetu midomo wazi - mfano, "watoto wa shule wanaopata mimba wanazipata kwa sababu ya kiherehere chao" - kwa nini tusifikirie kuwa kauli aliyotoa kuhusu mgogoro wa ndani ya Rwanda nayo inaweza kuwaacha wanyarwanda 'midomo wazi'?
Kwa sababu nao ni binadamu wenye hisia kama tulivyo sisi wabongo. Hili sio sula la 'uzalendo' bali ni suala la 'umakini katika utawala'. Udhaifu wa JK umetumeza sote na tunafungia akili zetu katika makabati! Wanyarwanda may have a point - let's take a step back and give the whole issue a serious thought rather than being dragged into 'udhaifu' zone.
Membe alisomea International Relations.JK hakusomea na ali-mess.Taaluma za watu ziheshimiwe.Leave US out maana wana policy ya mambo ya nje ambayo ni clear na ni pilot.Makamu wa Rais ni bingwa wa sera za mambo ya nje na anabeba majukumu mazito.Tusijichanganye!