Rwandan bid for Kagame third term undermines democracy: EU

by the UN! unbelievable isn't? na bado, struggle continues...
UN? Teh teh ... Shirika au taasisi gani ya UN? Unaweza kutupatia link yoyote ya UN yenye press release hiyo apart from wack ass blogs zisizo ma mbele wala nyuma?
 
 
UN? Teh teh ... Shirika au taasisi gani ya UN? Unaweza kutupatia link yoyote ya UN yenye press release hiyo apart from wack ass blogs zisizo ma mbele wala nyuma?
kwa hiyo wewe hadi kitu kiandikwe na BBC, Reuters, CNN... ndio uamini? hata wao huwa wanachomekea... huo ni upumbavu ndugu yangu! Rwanda hata sio mbali, kwa nini usije huku uangalie mwenyewe?
 
kwa hiyo wewe hadi kitu kiandikwe na BBC, Reuters, CNN... ndio uamini? hata wao huwa wanachomekea... huo ni upumbavu ndugu yangu! Rwanda hata sio mbali, kwa nini usije huku uangalie mwenyewe?
Usiyeyushe ... Onyesha link yeyote ya UN na umtaje spokesperson yoyote wa UN na urupe tarehe ya hiyo statement humuhumu Leo, sasa hivi.
Haijali shirika gani LA habari Ila tujue kama ni Ban ki moon au nani kutoka YN alitangaza hilo.
Medium mean a platform where something is done or transmitted, now what has been transmitted and from who, is very important to me.
Plz tell me who, from UN said that.
 

UN habitat awarded Kigali the Scroll of Honour Award:
Source:http://mirror.unhabitat.org/downloads/docs/6586_9299_Kigali.WHD2008.pdf
 

Nchi ni ya wananchi na sio ya vyama vya siasa
 
 

Why don't you ask those relatives of yours who are illegal migrants in Tanzania? FACT: there are more Rwandan refugees under Kagame than they were under Habyarimana the so called 'genocidaire'.
 
Are you insinuating that Magufuli is a dictator? Kitendo cha kuwaambia kuwa hela za sherehe za uhuru zitumike kwa miradi ya maendeleo.

Nenda kozi ya kingereza bwana nimechoka kukutafsiria kila siku.
 

what is your point? you are all over the place
 

1. I won't be able to give you the exact number of people who are opposing Kagame just like nobody would be able to give you the number of people who were opposed to Iddi Amin or Mobutu. Do that failure to give exact number make you agree that Kagame is opposed by only 10 people? c'mon man!
2. Any proof on JPM? have you heard any talk by any political party to front such a bill? Where exactly have you heard this 'talk'?
3. The people of Rwanda have not changed their minds. If anything its Kagame that has changed his. He had said previously in numerous interviews that he will respect the constitution, he will respect term limits, in fact he used to sound very angry at western journalists when they asked him whether he will step down, one time he said "why don't you ask Obama that question?". Later on he did a 360 and asked RPF to 'do a research' on what 'people want', the result is what we are seeing today. Its Kagame who is a flip flopper not the hapless Rwandans.
 
Nchi ni ya wananchi na sio ya vyama vya siasa

Wananchi huru wa nchi moja wakikubaliana na fikra za mtu mmoja basi hapo kuna kasoro. No leader can be that perfect.

Ndio maana tunakuwa na upinzani ili kutoa mwanya kwa watu wenye fikra mbadala. Watu hawajiungi vyama vya upinzani kwa ushabiki tu bali ni kwa ajili ya kutoa changamoto katika mtazamo/mustakabali wa nchi.
 
Malkia ataachia ngazi lini?
Yeye ha undermine democracy?
 
Tufanye yetu, ya wanyarwanda mambo yao ya ndani waachiwe Wanyarwanda wenyewe, hatima ya Wanyarwanda ipo mikononi mwao wenyewe.
 
It is strange to have a constitution that set term limits, but that very same constitution gives exception to one Individual. This is a Joke

Firstly what if later after Kagame there happen leaders in Rwanda who are a lot better than him, and if they desire to continue to lead past these terms, wont the constitution be changed again to let them have a free ride?

If Kagame perfoms better during his third term in office, and people still want him, But the Constitution says No, Who can can stop him to continue to lead after 2024, Will the constitution be amended to accomodate his ambition?

Unfortunately Kagame is setting a very bad precedent for what he has done. After him certainly at some point in time there will emerge some good leaders, even more capable than him, people will love them, and they will use an excuse of the precedent set by Kagame to molest the constitution.

I urge the Rwandans to say no to Kagame on this, It seems that the Rwandans perhaps dont want to burdern themselves with change, But they are puting their grand children in trouble for fear of change!.

Expect to get a president for Life in the future, because " People want him to stay"
 

hiyo yote ni kwa ajiri ya maendeleo sio fashion, shida yetu ni maendeleo na kuridhika nayo, haijarishi anatuongoza nani kwa muda gani, sisi wasukuma tumeongozwa na mtemi kwa miongo kibao, wahehe walitawaliwa na ukoo wa mkwawa kwa miongo mingi sana, usifikiri waingereza hawana akili kuongozwa na ukoo mmoja bali wana akili na wameridhika na utawala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…