Clarity JF-Expert Member Jul 6, 2010 1,591 2,112 Aug 29, 2011 #21 bombu said: mh...! Ngoja ntafute mkaka wa Kitutsi aniwowe, lol Click to expand... wala hujakosea mwaya
bombu said: mh...! Ngoja ntafute mkaka wa Kitutsi aniwowe, lol Click to expand... wala hujakosea mwaya
Chapa Nalo Jr JF-Expert Member Dec 8, 2010 7,515 6,490 Aug 29, 2011 #22 bombu said: mh...! Ngoja ntafute mkaka wa Kitutsi aniwowe, lol Click to expand... Jamani! jamani! sasa sisi men wa kibongo tutabaki na nani!?, maana tayari mmewakumbatia wababu wa kizungu, na sasa mnaelekea Rwanda, eh Mungu wangu tunaomba dada zetu wasitukimbie!
bombu said: mh...! Ngoja ntafute mkaka wa Kitutsi aniwowe, lol Click to expand... Jamani! jamani! sasa sisi men wa kibongo tutabaki na nani!?, maana tayari mmewakumbatia wababu wa kizungu, na sasa mnaelekea Rwanda, eh Mungu wangu tunaomba dada zetu wasitukimbie!
Msolopagazi JF-Expert Member Nov 26, 2010 663 153 Aug 29, 2011 #23 Mlichagua wenyewe serikali legelege halafu sasa mnalalamika nini!!!!!
Yericko Nyerere JF-Expert Member Dec 22, 2010 16,987 20,273 Aug 29, 2011 Thread starter #24 Msolopagazi said: Mlichagua wenyewe serikali legelege halafu sasa mnalalamika nini!!!!! Click to expand... <br /> <br /> Kaka tz ina watu zaidi 50ml,wapiga kura ni karibu 35ml sasa yeye kateuliwa na 4ml yani niwale aliowapa ajira hivi leo!!
Msolopagazi said: Mlichagua wenyewe serikali legelege halafu sasa mnalalamika nini!!!!! Click to expand... <br /> <br /> Kaka tz ina watu zaidi 50ml,wapiga kura ni karibu 35ml sasa yeye kateuliwa na 4ml yani niwale aliowapa ajira hivi leo!!
oba JF-Expert Member Oct 31, 2010 310 65 Aug 29, 2011 #25 mamanalia said: jk anaona aibu Click to expand... That is not true, JK haoni aibu, coz hana mshipa wa aibu!
mamanalia said: jk anaona aibu Click to expand... That is not true, JK haoni aibu, coz hana mshipa wa aibu!