Pamoja sana...walidhani kutupiga marufuku ya mita 200 ndo watafanikiwa hila zao....walichosahau ni kuwa mikakati yao yote tayari tunayo....kuanzia Kingunge, Lowassa, Sumaye na wengine tunajua watakuwa MSAADA mkubwa sanaktk kutupa mikakati ya kuzuia WIZI wa kura mwaka huu