Kwa sasa suala la rushwa ya ngono, vyuoni na mashuleni, limepamba moto, je;
1) ni nini chanzo chake?
2) hakuna makubaliano kati ya wahusika?
3) kama hakuna makubaliani kati ya wahusika, ni rushwa kweli au ubakaji?
4) uvumbuzi wake ni upi?
Yawepo makubaliano au yasiwepo ni haramu (yaani kinyume na maadili). Unapolazimisha ni unyanyasaji na kama kuna makubaliano (vigumu kuonyesha) kuna kuwa na mgongano wa kimaslahi (conflict of interest). Mwalimu (kuanzia primary hadi chuo kikuu PhD) kwa ujumla haruhusiwi kutembea na mwanafunzi wake FULLSTOP.Kwa sasa suala la rushwa ya ngono, vyuoni na mashuleni, limepamba moto, je;
1) ni nini chanzo chake?
2) hakuna makubaliano kati ya wahusika?
3) kama hakuna makubaliani kati ya wahusika, ni rushwa kweli au ubakaji?
4) uvumbuzi wake ni upi?
Mbona Mzee Mengi KAMUOA Klyn nini kipya?! Ingekuwa haipiti sawa. Na vipi kuhusu lectures wakike/wamama au wabibi wao hawatoi ngono?!Professor anamiaka 56 anatembea na msichana wa chuo wa miaka 22 sio fea kabisa ni matumizi mabaya ya mamlaka.
Ni dhambi sana mwanafunzi akikataa ajiandae kusap,kufreez au hata kudisco kabisa hapo ukiangalia ada yenyewe mpaka ukoo ukutane wakuchangie ndo uende chuo .hii Dunia ni ngumu sana .
Kuna moja hivi nimetoka kwenye kipindi chake na ni mdogo kwangu kiumri lakini ananipiga pindi. Nataka nimbandue sasa sijui yangu itakuwaje wakati yeye ndo mwalimu na mimi ni mwanafunzi wake. Uzuri hajaolewa ila ni single mother. Hii nayo ni rushwa ya ngono nikifanikiwa kumla?Mbona Mzee Mengi KAMUOA Klyn nini kipya?! Ingekuwa haipiti sawa. Na vipi kuhusu lectures wakike/wamama au wabibi wao hawatoi ngono?!
Ikitokea ukamla, hizo ni hisia tu hakuna rushwa hapo. Rushwa ni pale atakapokwambia hakupi grade nzuri mpaka umbandue au kama usipombandua utafeli.Kuna moja hivi nimetoka kwenye kipindi chake na ni mdogo kwangu kiumri lakini ananipiga pindi. Nataka nimbandue sasa sijui yangu itakuwaje wakati yeye ndo mwalimu na mimi ni mwanafunzi wake. Uzuri hajaolewa ila ni single mother. Hii nayo ni rushwa ya ngono nikifanikiwa kumla?
Hahaha bosi umefikia huku nawe unahtaj pichaBila picha hbr hainogi.
Mnayakuza mambo ambayo hata hayapo Makubwa kihivyo Masomo yapo mengi vile hivi huyo mtoa rushwa ataliwa na wangapi?. Hayo mambo yanatokea tu hata mtaani kwenu ila sasa siyo kila ukiona watu wametoboa unafikiri rushwa ya ngono.Kwa sasa suala la rushwa ya ngono, vyuoni na mashuleni, limepamba moto, je;
1) ni nini chanzo chake?
2) hakuna makubaliano kati ya wahusika?
3) kama hakuna makubaliani kati ya wahusika, ni rushwa kweli au ubakaji?
4) uvumbuzi wake ni upi?
muache madam Esther shwain wwKuna moja hivi nimetoka kwenye kipindi chake na ni mdogo kwangu kiumri lakini ananipiga pindi. Nataka nimbandue sasa sijui yangu itakuwaje wakati yeye ndo mwalimu na mimi ni mwanafunzi wake. Uzuri hajaolewa ila ni single mother. Hii nayo ni rushwa ya ngono nikifanikiwa kumla?
wanafunzi ni watamu ukilinganisha na wake za maprofesa wanaovaa madera na kushinda nyumbani kwenye mazizi ya ngombe ,na pia hawajui kuvaa, yani watoto wa chuo wanashawishi sana
Umecheleqa mkuu Hhhahha. Lakini sio Esther mkuumuache madam Esther shwain ww
😃😃😃ndio maana sijawahi kutamani kuwa lecture au mwalimu....maana ningeweza jikuta nipo nyuma ya barswanafunzi ni watamu ukilinganisha na wake za maprofesa wanaovaa madera na kushinda nyumbani kwenye mazizi ya ngombe ,na pia hawajui kuvaa, yani watoto wa chuo wanashawishi sana