Rushwa ni kitendo cha kumzawadia mtu kitu ukiwa na malengo ya kuwezeshwa na mhusika huyo, unamtunuku kiongozi shahada then unamuomba fedha, walahi akikupa hiyo ni SIBIRO (kwa wanaojua tu).
Umepotea na sababu ya kupotea ni kuwaza pafupi bila kuongeza ufahamu. Hiko chuo ulichosema ni cha serikali hivyo hakina budi kuomba bajeti serikalini ya kujiendesha na kwa kuwa aliyeombwa ni mkuu Wa serikali, kuna ubaya gani hapo?
ungeeleweka kama hiyo shahada angetunukiwa na chuo cha binafsi na hapohapo mkuu au makamu mkuu Wa chuo akaomba fedha za kujiendesha kutoka serikalini. sometimes you have to think critically and logically for critical and logical issues
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.