Rungu laja kufungiwa line zilizosajiliwa kiujanja na mawakala

Dhana ya fingerprint hapa mbona siioni! Mi nimeshasajili line yangu kwa NIN na fingerprint, mwingine anaisajiliaj? Yaan NIN inawez kukubali fingerprint Zaid ya moja?

Kama ni kweli, hili zoezi linaweza lisiwe na uwezo wa kukidhi matarajio ya matamanio yetu!

Au mimi ndo sielewi vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kosa lingine ni nida wenyewe, mfano mdogo wangu amejiandikisha since mwezi wa kumi but mpaka leo ajapata namba je nafanya nn? Ameenda nida anaambiwa subiri sasa hapo ndio chanzo cha kutafuta another alternative ili Uwe hewan
 
Kosa lingine ni nida wenyewe, mfano mdogo wangu amejiandikisha since mwezi wa kumi but mpaka leo ajapata namba je nafanya nn? Ameenda nida anaambiwa subiri sasa hapo ndio chanzo cha kutafuta another alternative ili Uwe hewan
Hizo hoja zako utaenda kusema ukipelekwa "UBAONI KWA PONSIO PILATO" aka MAHAKAMANI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…