Mr egm
Senior Member
- Jan 24, 2014
- 153
- 6
Nimekuja nikiamin kuw nitasaidiw kupata kupata admission letter zaid niliambiwa kuw nirudi kama wenzang fulan wa mwanzoooo mpak nitumiwe barua!
Kingne wakanambia kuw wametumiwa majina 850 hiv na nacte bila kushirikishwa hvo chuo hakina nafas ya kuchukua hao watu.
Wakaongeza kusema watachukua kwanza wa division one and two then wengne baadae ni ktk batch itakayotoka mda wowote ya watu 150!
Tumia busara kuchangia ila Si matusi!
Kingne wakanambia kuw wametumiwa majina 850 hiv na nacte bila kushirikishwa hvo chuo hakina nafas ya kuchukua hao watu.
Wakaongeza kusema watachukua kwanza wa division one and two then wengne baadae ni ktk batch itakayotoka mda wowote ya watu 150!
Tumia busara kuchangia ila Si matusi!