voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,553
- 11,885
"ATCL" imerudia kuwa ATC.."Any Time Cancelation!"
"Kenya Airways"Mgomo mkubwa unaendelea!
"Precision Air" chubwiii kwenye maji.
Na ndio kwanza mjomba kainunua Kosti-Aviwasheheni! kampuni ya mtaliano aliyefariki hivi karibuni pale Dar Es Salaam.
Kwenye Mitandao ya simu nako, tangu ameingia mjomba.
Bundle za Internet zinazidi kupungua, huku bei ikizidi kupanda.
#Nape yuko kimya tangu then....mdomo ulipojazwa asali, toka buyu la Mjomba!
Ni hivi majuzi tu, mjomba aliinunua ile kampuni ya Tu-go!
Kwenye Mitungi ya Gas nako, tunamuona Waziri wa Nishati, ameacha ofisi na kuingia mtaani na vijijini kufanya promosheni ya Twafa-Gas!
Tumeshuhudia Saa-100 akituteulia kikosi kazi cha kutafuta namna ya kampuni ya Mjomba. Twafa-Gas itakavyowezeshwa kupewa kandarasi ya kuisambaza gesi yake na serikali kwa kila taasisi na kila kijiji.
Ni hivi karibuni mjomba alifanya uwekezaji mkubwa kwenye sekta ya Gesi kupitia kampuni yake ya Twafa-Gas!
Huku tunaona mjomba akizidi kujiweka sawa kumbadili huyu wazo-la-mkuu.
Ili safu yake itimie.
Sababu kati ya woote walioko, kuanzia Msogee hadi Zenji, na kuanzia Bumbu-wali hadi Mitamaa
Kote amepashika mjomba!
Tatizo liko hapa Kwa huyu wa Rua-angwa bado kuna kizuizi, buyu la mjomba linakwama kuingia kooni mwa Rua-angwa!
Hivyo inaonekana wazi ni kutafuta kuondoka kwa Majaaliwa ya Mungu!
Tobaaa!
Wa kunielewa tuko wote!
Niko siti ya mbele kidogo.
Yanayokuja Yanakerehesha!
10101 Alamsiki!
"Kenya Airways"Mgomo mkubwa unaendelea!
"Precision Air" chubwiii kwenye maji.
Na ndio kwanza mjomba kainunua Kosti-Aviwasheheni! kampuni ya mtaliano aliyefariki hivi karibuni pale Dar Es Salaam.
Kwenye Mitandao ya simu nako, tangu ameingia mjomba.
Bundle za Internet zinazidi kupungua, huku bei ikizidi kupanda.
#Nape yuko kimya tangu then....mdomo ulipojazwa asali, toka buyu la Mjomba!
Ni hivi majuzi tu, mjomba aliinunua ile kampuni ya Tu-go!
Kwenye Mitungi ya Gas nako, tunamuona Waziri wa Nishati, ameacha ofisi na kuingia mtaani na vijijini kufanya promosheni ya Twafa-Gas!
Tumeshuhudia Saa-100 akituteulia kikosi kazi cha kutafuta namna ya kampuni ya Mjomba. Twafa-Gas itakavyowezeshwa kupewa kandarasi ya kuisambaza gesi yake na serikali kwa kila taasisi na kila kijiji.
Ni hivi karibuni mjomba alifanya uwekezaji mkubwa kwenye sekta ya Gesi kupitia kampuni yake ya Twafa-Gas!
Huku tunaona mjomba akizidi kujiweka sawa kumbadili huyu wazo-la-mkuu.
Ili safu yake itimie.
Sababu kati ya woote walioko, kuanzia Msogee hadi Zenji, na kuanzia Bumbu-wali hadi Mitamaa
Kote amepashika mjomba!
Tatizo liko hapa Kwa huyu wa Rua-angwa bado kuna kizuizi, buyu la mjomba linakwama kuingia kooni mwa Rua-angwa!
Hivyo inaonekana wazi ni kutafuta kuondoka kwa Majaaliwa ya Mungu!
Tobaaa!
Wa kunielewa tuko wote!
Niko siti ya mbele kidogo.
Yanayokuja Yanakerehesha!
10101 Alamsiki!