Kwa mfano mi cmu yangu ni Tecno L6 ina tatizo la kutopokea cmu mtu akipiga inaandika UNFORTUNATELY PHONE HAS STOPPED ikisha andika hvo uwezi kupokea, nimeambiwa only solution ni kuflash na Tcra hawataki hii biashara nifanyeje wadau??
Kwa mfano mi cmu yangu ni Tecno L6 ina tatizo la kutopokea cmu mtu akipiga inaandika UNFORTUNATELY PHONE HAS STOPPED ikisha andika hvo uwezi kupokea, nimeambiwa only solution ni kuflash na Tcra hawataki hii biashara nifanyeje wadau??
Kinachotakiwa kufanya ni kuflash system partition only ao haihusian na masuala ya imei wala serial number ambazo hizo zinakaa kwenye nvram partition .. Ni PM nikusaidie
Kwa mfano mi cmu yangu ni Tecno L6 ina tatizo la kutopokea cmu mtu akipiga inaandika UNFORTUNATELY PHONE HAS STOPPED ikisha andika hvo uwezi kupokea, nimeambiwa only solution ni kuflash na Tcra hawataki hii biashara nifanyeje wadau??