Wadau wa man u mpo,aisee vijana wamefanya kazi tuliokuwa tunaisubiri maana kwanza Rooney amejustify ni super star lakini pili Ronaldo atakuwa akimshangilia Rooney maana fainali mwaka huu ni SPAIN tena uwanja wa Real Madrid,Kikubwa ni kumzima mdomo wenger alieanza kuchonga maana aggregate ni 7-2, tatizo lake achelewi kulia big up sana red devil