mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,658
- 9,762
Kuwaepuka ni ngumu kwa sababu wahenga wanakwambia kikulacho kinguoni mwako.true mkuu,
Ila ukifanya kitu kwa ajili yako bila kutegemea someday kuwa huyo mtu atakufanyia vivyo hivyo inasaidia sana
kingine ni kujiepusha na watu ambao unaona kabisa ni users na toxic. Quality over quantity