Roboti inaingiaje Jamii Forums?

Maguge Maguge

JF-Expert Member
Sep 1, 2016
2,734
1,778
Wakuu,
kuna kitu sijakielewa kinachohusu mitandao, na hasa Jamii Furums.
Nimeingia Jamii Forums kwa kutumia browser, kuna mahala nimeklik, nikakutana na maneno yanayoainisha aina za watumiaji,
kulikuwa na members,Guests, na Robots!
kulikuwa na aina tofauti za roboti, msn, yahoo, bing, na aina nyinginezo, na nimefuatilia na kuona maelezo ya baadhi ya threed zilizofunguliwa na hizo roboti!
naomba wajuvi wa mambo mnitoe tongotongo, hizo roboti ni za namna gani?

Naombeni Msaada wenu!
 
Kuna mod naye jina lake ni robot, yumo humu ndani. Ngoja yy aje akujibu
 
Roboti zipo ambazo kiuhalisia sio watu ni software ila zene uwezo wa kufanya kazi kama mtumiaji mwingine.. mfano zipo ambazo kazi zake ni kukusanya taarifa za site husika unayotembelea kujua IP address za watumiaji wake, wanatoka nchi gani, na kukusanya taarifa nyingine xinazotumiwa na search engine kama google na nk, mfano facebook ipo software zenye uwezo wa kuperform kila ukifanyacho ww binadamu... ila somo lake kubwa sana ila actually Toboti zipo na zinaweza register kwenye website na kuingia kama binadamu mwingine ndio maana kwenye login page ya site nyingi wanaweza yale maandishi ya kwenye picha uyarudie kiyaandika ili kujua kama ni binadam kweli robot likifika pale linachemka
 
Roboti zipo ambazo kiuhalisia sio watu ni software ila zene uwezo wa kufanya kazi kama mtumiaji mwingine.. mfano zipo ambazo kazi zake ni kukusanya taarifa za site husika unayotembelea kujua IP address za watumiaji wake, wanatoka nchi gani, na kukusanya taarifa nyingine xinazotumiwa na search engine kama google na nk, mfano facebook ipo software zenye uwezo wa kuperform kila ukifanyacho ww binadamu... ila somo lake kubwa sana ila actually Toboti zipo na zinaweza register kwenye website na kuingia kama binadamu mwingine ndio maana kwenye login page ya site nyingi wanaweza yale maandishi ya kwenye picha uyarudie kiyaandika ili kujua kama ni binadam kweli robot likifika pale linachemka
Mkuu, Umesema roboti ni software inayoweza kuingia kwenye mtandao kwa ku log in kama mtu,

sasa kama ni hivyo, likifika pale kwenye maandishi ya kurudia litashindwaje wakati linalog in kama binadamu?

na je hizo roboti haziwezi kutuletea madhara sisi watumiaji?
 
Wakuu,
kuna kitu sijakielewa kinachohusu mitandao, na hasa Jamii Furums.
Nimeingia Jamii Forums kwa kutumia browser, kuna mahala nimeklik, nikakutana na maneno yanayoainisha aina za watumiaji,
kulikuwa na members,Guests, na Robots!
kulikuwa na aina tofauti za roboti, msn, yahoo, bing, na aina nyinginezo, na nimefuatilia na kuona maelezo ya baadhi ya threed zilizofunguliwa na hizo roboti!
naomba wajuvi wa mambo mnitoe tongotongo, hizo roboti ni za namna gani?

Naombeni Msaada wenu!
Mkuu mada yako nzuri sema members wa humu sijui wakoje mada serious inaletwa wao wanaleta mizaha
 
Mkuu mada yako nzuri sema members wa humu sijui wakoje mada serious inaletwa wao wanaleta mizaha
Mi ninachoona, huenda wana sheria zinazowazuwia kushea na sisi ktk mijadala, maana hili nadhani wangepaswa kunijibu, kama hata kwao ni geni pia walipaswa watoe hoja.
 
Robor ni software ambayo inatengenezwa / dizainiwakwa ajili ya lengo fulani. Baada ya kutengenezwa inawekewa na vifaa vya kumbukumbu ambavyo vitakuwa vinafanyika moja kwa moja bila kuwepo na mtu karibu ambapo baadhi ya robot iko kwenye mitandao ya simu, mitandao ya kijamii. Unaweza kujauliza maswali na yakakujibu kulingana na yalivyosetiwa.Majibu yatakayokujibu ni yale ambayo ni common.
 
Back
Top Bottom