An insider from Zimbabwe's ruling government has posted information suggesting that longtime president of the African nation Robert Mugabe has collapsed.
Happyton Bonyongwe, the director-general of the Zimbabwean Central Intelligence Organisation, has reportedly tightened security at State House in Zimbabwe, a day after fears for Mr Mugabe's health surfaced, internet commenter Baba Jukwa said.
Baba Jukwa, an insider in the ruling Zanu-PF party who uses a Facebook page to expose corruption in the regime, on Saturday reported rumours that Mr Mugabe had collapsed.
However, he added that Mr Mugabe's press secretary, George Charamba, had denied that the President was ill.
Read more: Zimbabwe leader Robert Mugabe has collapsed: report
Hata hivyo amshukuru sana Mungu kwa umri huo na bado ni Kiongozi!!
Ukiacha viongozi wa kifalme, nadhani ni watu wachache sana duniani waliofanikiwa kufikia umri huo wakiwa bado kwenye Power.
Mugabe hana tofauti na mgombea kibabu wa kile chama chenye kesi mahakamani
Nakuunga Mkono mdau.. I think its time for mother nature to do what it does better..Mkuu,
huoni kama bwana Robert ni mroho wa madaraka? asiye na tofauti na Mu7? Wao hubadilisha katiba regularly to legitimize their life time presidency..
Sidhani kama Zimbabwe imeishiwa viongozi.. au wote ni vibaraka wa wazungu?
Africans leaderz are too greedy!
Hata hivyo amshukuru sana Mungu kwa umri huo na bado ni Kiongozi!!
Ukiacha viongozi wa kifalme, nadhani ni watu wachache sana duniani waliofanikiwa kufikia umri huo wakiwa bado kwenye Power.
apumzike tu....