Riwaya; taaluma iliyopotea

ni fupi sana ila ni tamuu, lini mwendekezo
 

Mzn....bila shaka wewe ni shabiki wa bwana Frank Mushi....lakini ingekua vyema zaidi kama ungewasiliana nae kisha u post hii hadithi huku
 
 
Mzn....bwana FRANK MUSHI ANAOMBA UWASILIANE NAE KWA NAMBA 0717353606 KABLA YA KUENDELEA KUIPOST KWAKUWA HADITHI HIYO IMESAJILIWA NA INA HATI MILIKI. HIVYO KUENDELEA KUIPOST BILA IDHINI YAKE NI KOSA KISHERIA
 
Habari mwana Jf...mimi naitwa FRANK MUSHI mwenye hadithi uliyoipost hapa. Hadithi iyo nimeisajili na ina namba ya usajili na hati miliki. Si sahihi kuipost bila idhini yangu kwakuwa ni kazi inayolindwa na sheria ya hati miliki. Hivyo nakusihi usiipost tena na pia nitafute kwa namba aliyoiweka mdau hapo juu.
 



nadhani promo yenu imefanikiwa.well done frank
 
Sasa tuambieni hicho kitabu nitakipata wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…