Richard stephen wa ITV amesoma lini utangazaji?

Richard stephen wa ITV amesoma lini utangazaji?

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
12,361
Reaction score
6,441
Wadau huyo mtoto si yule aliyekuwa na watoto wenzake katika kipindi cha watoto cha ITV! Sasa huo uandishi wa habari ameusomea chuo gani? Naona anatangaza kipima joto!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Wadau huyo mtoto si yule aliyekuwa na watoto wenzake katika kipindi cha watoto cha ITV! Sasa huo uandishi wa habari ameusomea chuo gani? Naona anatangaza kipima joto!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Unashanga nini sasa?
 
unataka chuo alichosomea au unataka kujua kama kasoma
Wadau huyo mtoto si yule aliyekuwa na watoto wenzake katika kipindi cha watoto cha ITV! Sasa huo uandishi wa habari ameusomea chuo gani? Naona anatangaza kipima joto!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Na anatangaza vizuri kwa kujiamini akitulia atafika mbali sana, mbona wenzetu vipaji vinagundulika wakiwa wadogo kabisa? sisi tunachelewa kugundua vipaji vya watoto wetu .
 
ITV is an academy, ndio maana KARIBIA kila mwandishi wa habari mzuri lazima alipitia IPP. Nadhani unapaswa kuwapongeza ITV kwa kuweza kutoa vipaji
 
Safi sana umemaliza mjadala wengi wetu tunafikiri vyeti ndo vipaji.Pamoja na elimu kwamba nzuri sana.Hivi wachaga wote wamesomea biashara?
 
Huyu Richard ni mmoja ya watangazaji wazuri na wanaojiamini hapo ITV! Hongera zake yuko vizuri!
 
Watangazaji wote wa CLOUDS MEDIA hamna ata moja aliepitia chuo kile cha ilala wala kile cha Kwa morombo. Kwahiyo usishangae.
 
Huyu mtoto just of recent last year alikuwa na watoto wenzake hapo ITV, leo ni mwandishi wa habari!
Mkuu siyo mwandishi na hapa kuna uchanganyaji wa mambo kuna tofauti kati ya mtangazaji na mwandishi,wale unaowaona wanatangaza either radioni au kwenye luningi siyo waandishi na hata mafunzo hutolewa tofauti chuoni,watangazaji wanasubiri waandishi watafute story apewe mtangazaji atangaze na walichojifunza sana ni sauti ila mwandishi amejifunza nini story!na siyo kila tukio ni story.
 
Back
Top Bottom