FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,867
- 5,064
Rohingya ni jamii ya Watu fulani, sio eneo.
Historia isiyo rasmi inaonyesha hii jamii ilitokea Bangladesh na ku settle kwenye sehemu hiyo ya Burma (Arakan region)
Hata ukiwaona hii jamii inafanania Wahindi tofauti na hao wazawa halisi wa Burma...na tatizo la Asia karibu kila jamii ina muonekano tofauti na wengine, tofauti na sisi Waafrika...na ndio maana inakuwa rahisi kunyanyapaana.
Wa Burma (Burmese) wanawaita hao wakimbizi kutoka Bungladesh, na wamewatenga kwenye kambi...na kule Bangladesh wanasema hao ni sehemu ya Burmese, hivyo hawawapokei...wao wenyewe (Rohingya) wanadai eneo wanaloishi hapo Burma ni la kwao tangu enzi za Mababu...sasa nadhani labda waliathirika na hii mipaka iliyowekwa na wakoloni nao kujikuta wapo ndani ya Burma badala ya Bangladeshi....kama vile hapa kwetu itokee mzozo kati ya Wamasai wa Kenya na Tanzania, kule Kenya wakataliwe na sisi huku tuwazuie hivyo wabaki njia panda.
Na kufanya mambo kuwa magumu zaidi jami hii wao ni Waislam tofauti na wenzao ambao ni Mabudha.
Jambo ambalo halizungumzwi sana ni shutuma za "Wazawa" wa Burma kuwa kumekuwa na vitendo vya kigaidi ndani ya Burma na watuhumiwa ni hao wa Rohingya...hivyo wanaona ufumbuzi ni kuwafukuza warudi Bangladeshi...
Na ndio maana hata yule Aung San Suu Kyi anashindwa aegemee upande gani, dizaini kama anaunga mkono waondolewe.
Historia isiyo rasmi inaonyesha hii jamii ilitokea Bangladesh na ku settle kwenye sehemu hiyo ya Burma (Arakan region)
Hata ukiwaona hii jamii inafanania Wahindi tofauti na hao wazawa halisi wa Burma...na tatizo la Asia karibu kila jamii ina muonekano tofauti na wengine, tofauti na sisi Waafrika...na ndio maana inakuwa rahisi kunyanyapaana.
Wa Burma (Burmese) wanawaita hao wakimbizi kutoka Bungladesh, na wamewatenga kwenye kambi...na kule Bangladesh wanasema hao ni sehemu ya Burmese, hivyo hawawapokei...wao wenyewe (Rohingya) wanadai eneo wanaloishi hapo Burma ni la kwao tangu enzi za Mababu...sasa nadhani labda waliathirika na hii mipaka iliyowekwa na wakoloni nao kujikuta wapo ndani ya Burma badala ya Bangladeshi....kama vile hapa kwetu itokee mzozo kati ya Wamasai wa Kenya na Tanzania, kule Kenya wakataliwe na sisi huku tuwazuie hivyo wabaki njia panda.
Na kufanya mambo kuwa magumu zaidi jami hii wao ni Waislam tofauti na wenzao ambao ni Mabudha.
Jambo ambalo halizungumzwi sana ni shutuma za "Wazawa" wa Burma kuwa kumekuwa na vitendo vya kigaidi ndani ya Burma na watuhumiwa ni hao wa Rohingya...hivyo wanaona ufumbuzi ni kuwafukuza warudi Bangladeshi...
Na ndio maana hata yule Aung San Suu Kyi anashindwa aegemee upande gani, dizaini kama anaunga mkono waondolewe.