Mabudha ni wenye nchi ya myanmar wapo karibu 95% ya watu wote myanmarKwann wafanye hivyo na hao mabudha wana nguvu gani???
Sio itakuwa kama Rwanda ilishawahi kuwa kama Rwanda kama unazikumbuka movie za rambo zile zote ni hali halisi jinsi ilivyokuwa Myanmar hapo nyumaUN isipokuwa makini Myanmar itakuwa Rwanda ya mwaka 1994
Jeshi ndio lenye nguvu zaidi myanmarUN isipokuwa makini Myanmar itakuwa Rwanda ya mwaka 1994
Rhohingya ni watu (ethnic group) wenyewe wanaishi kwenye moja ya majimbo ya Myanmar, jimbo lao linaitwa Rakhine. Huko ndo machafuko yanapotokea.Katika pitapita zangu internet nimekutana na hii habari watu kuuawa huko rhohingya na kupelekea kukimbia makazi yao kuelekea bangladesh huku lawama zikitupwa kwa serikari ya myanamar na UN..... Nini hasa kinaendelea huko????
Vitu vingine ukiandika utumie kichwa cha juu.Kwanza hakuna sehemu inaitwa Rhohingya. Hilo ni kabila la kibangladesh lillilohamia Myanmar na kutaka Mabudha wawe waislamu sasa wanasomeshwa namba. Mabudha si watu wa kuchezea.
Rohingya wanaishi magharibi ya nchi ya myanmar kwenye jimbo la rakhine stateKwanza hakuna sehemu inaitwa Rhohingya. Hilo ni kabila la kibangladesh lillilohamia Myanmar na kutaka Mabudha wawe waislamu sasa wanasomeshwa namba. Mabudha si watu wa kuchezea.
Sawa mkuu em tafiti tafiti tupate kujuaRhohingya ni watu (ethnic group) wenyewe wanaishi kwenye moja ya majimbo ya Myanmar, jimbo lao linaitwa Rakhine. Huko ndo machafuko yanapotokea.
Hii issue nmeshindwa kuisemea chochote kwasababu sijui kinachoendelea... Zaidi ya habari za western medias, sina chanzo chochote kingine. Lakini pia, historia yao inaleta sintofahamu nyingi, after all hawa jamaa pia wana local militias zao ambazo nao inasemekana wamekuwa wakivamia vijiji vya watu wengine..!
So, hizi mambo inabidi niendelee kufatilia zaidi, kama nitataka kutoa maoni yasiyo biased based on religion, pity etc.
tupe sababu maana hata nchi Ya Jiran (Bangladesh ) walikokimbilia wa rhohingya nako wameanza kushambuliwa, wanadhambi gani? si bure, kuna sababuNi jamii ya mabudha walio wengi nchini myanmar ambao wamepanga kukifuta kizazi chote cha jamii ya walohingya walio wachache
hajachelewa, hata huko Bangladesh walikokimbilia nako wanashambuliwa, topic yake bado ni variedNdugu yangu mleta uzi uko nyuma sana aisee,ishu inamiezi weye ndo waja kuulizia leo?
ukipinga hoja njoo na hojaVitu vingine ukiandika utumie kichwa cha juu.
Bangladesh hawajafukuzwa hao walohingya tatizo ni kwamba wameelemewa sana na wakimbizi kwa hiyo wameshindwa kuwahudumia wote ndio maana wakafunga mipaka kama unavyoona waarabu wanavyokwama ugiriki kwenda ulayani kweli, lakini
tupe sababu maana hata nchi Ya Jiran (Bangladesh ) walikokimbilia wa rhohingya nako wameanza kushambuliwa, wanadhambi gani? si bure, kuna sababu