REST & Android APIs for Tanzanian developers

REST & Android APIs for Tanzanian developers

wickerman

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
408
Reaction score
252
Niaje wakuu,

Ni muda mrefu sijapost kitu humu. Leo nakuja na swala moja tu ambalo Kwa developers ni muhimu.

Je kuna APIs zozote specifically kwa Tanzania?

Mfano, tuna news network nyingi sana Mwananchi, Citizen, Nipashe n.k. Swali ni je kuna Interface zozote in place ambazo zinaweza kusaidia developers wa Tanzania ku tengeneza application mahiri zaidi kwa ajili ya kudeliver service hizi kwa njia bora?

Mfano kuliko kutumia webviews kwenye news Apps, kukawa na native support ya vitu baadhi mfano news zinaweza kuwa saved hata kwenye a local database( for offline access) au kuwa synced na mtu akapata notifications na hata ku follow topics kadhaa. Je ni kwamba mitandao yetu Tanzania haina capability hiyo ya kutengeneza hizo APIs? Au ni kwamba hawaoni mbali.

Kwasabab sometimes kuwa na Interfaces kama hizi kuna saidia kwamba users wakapata apps zenye mvuto bora kuliko hata ambazo zimetengenezwa na network husika. Na mtu unakua na options nyingi nyingi za kuchagua ipi nzuri kwako.

Ishu nyengine pia ni kama una fahamu baadhi ya Interfaces kama hizo za hapa Tanzania, naomba uweke kwenye comment and nitazi-include hapa kwenye main post.

Shukrani kwa kusoma.
 
Swala la kutumia API ni ngumu kdgo... ila kuna plugin haswa za wordpress zinazoweza kudeliver notification to subscribed topics... mkuu mambo uliyotaja hapo yote yanawezekana hata na hzi small resources tulizo nazo... point ni kwamba hawaoni mbali
 
I dont see them making an API anytime soon kwa kua wao pia wanataka traffic kwenye sites zao.
Japo pia sioni why not kama ni kutengeneza pesa nadhani wangetengeneza API alafu wakatoa access ya baadhi ya features tu mfano just headlines ya current news then wakatoa na link ya kuredirect kwao kama shida yao ni traffic, au wakalazimisha developers kutumia a paid API key kulingana na # of requests.

The only way sasa hivi ni kucrawl hizi websites kitu ambacho sikipendi na kinaweza bring lots of issues.

Ila apart from news, API ambazo ningependa kuona ni za general data about everything in Tanzania, kuanzia kilimo tuje kwenye traffic information, local businesses e.t.c.
 
Back
Top Bottom