mtafiti05
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 956
- 593
Huu usemi hua nauskia tu na kuona baadhi ya uhalisia kwa matajiri fulan,
Hii kafala nazngumzia ya awamu ya 5, imeamua ktoa kafala kwa watumishi wa umma na vijana wahtaj Ajira na kuwafanya kuwa mazezeta ili tu ifanikiwe kuendelea,
Kwel imefanikiwa kununua ndege 6, imejenga viwanja vya ndege, flyover tayr, nk, hawa waliofanywa mazezeta wamekuwa wakukaa tu nyumban toka wahitimu 2015 mpaka leo, je ufahamu wao kjkomboa lini?
Watumishi pia mwaka mzma bila incresment,uhamisho,madaraja,nk, je ss watumishi ndo tumekubali kutolewa kafala?
Siku waliotolewa kafala wakznduka utajir wote utayeyuka!
Hii kafala nazngumzia ya awamu ya 5, imeamua ktoa kafala kwa watumishi wa umma na vijana wahtaj Ajira na kuwafanya kuwa mazezeta ili tu ifanikiwe kuendelea,
Kwel imefanikiwa kununua ndege 6, imejenga viwanja vya ndege, flyover tayr, nk, hawa waliofanywa mazezeta wamekuwa wakukaa tu nyumban toka wahitimu 2015 mpaka leo, je ufahamu wao kjkomboa lini?
Watumishi pia mwaka mzma bila incresment,uhamisho,madaraja,nk, je ss watumishi ndo tumekubali kutolewa kafala?
Siku waliotolewa kafala wakznduka utajir wote utayeyuka!