Anataka iwe 2-0Haya Fanya matokeo yawe 3/1 ili uridhike
Mechi imechezwa 21/02/2021 mchezaji wa Ruvu mpira umemgonga usoni refa anafunika penati.
Kwa waamuzi wa aina hii akina Saanya bado tunasafari ndefu sana kwenye soka upande wa waamuzi.
Yaani hakimu akisemwa anatoa hukumu mbovu? Tanzania hakuna waamuzi kuna wasimamizi wa mechi.Tatizo lenu na wachambuzi wa kudanga,mnatoa lawama sana kwa waamuzi kiasi kwamba wanashindwa kujiamini wanapotoa maamuzi.
Timu kama utopolo walinyimwa penalty ikawa hadi wanautopolo wakajuapiza kuua.Lakini ni ukweli ni bora kutotoa adhabu ya penalty kama hujaona kwa uhakika kosa lililofanywa,kuliko kutoa adhabu hiyo wakati huna uhakika iwapo kweli kosa limetendeka
Kma amesema kulikuwa na penati, maanake ni goli, hivyo tumempa Hilo goli au tumetoa goli moja, matokeo ni 2-0, bado biashara Yuko kifua mbele na pointi 3, Una lingine?Mkuu akili zako ni timamu?
Wangekuwa wale wenzetu sijui ingewaje muda huu ni kosa la kibanadamu tuMechi imechezwa 21/02/2021 mchezaji wa Ruvu mpira umemgonga usoni refa anafunika penati.
Kwa waamuzi wa aina hii akina Saanya bado tunasafari ndefu sana kwenye soka upande wa waamuzi.
Nimeandika kuhusiana na ubovu wa maamuzi ya mwamuzi, ila kumetokea genge la "vichwa maji" kunihusisha na Usimba na Uyanga! Hivi mnapenda soka au mnapenda timu zenu nyie wendawazimu?Yaaani Utopolo wanatafuta jinsi kuhalarisha kilio chao walicholia mbele ya timu mbovu hadi kutaka kujitoa