Scott junior
JF-Expert Member
- Mar 24, 2022
- 2,382
- 3,146
1. ✈️ Simu kindege “flight mode” kila mkiwa pamoja.
Anaepuka mawasiliano ya “side guys" —bro, hiyo ni red flag ya kimataifa.
2. 📵 “Usinipost please”
Anaogopa kupostiwa kama vile mwanaharakati. Ukimtag, anakwambia “sipendi attention” kumbe ni asionekane na msela.wake mwngne. Kwako yupo lowkey, kwao ni main chick 😭.
3. 🛏️ Kipochi nyoya kinabadilika ghafla
Unamfeel tofauti—ladha imepotea, vibe haipo, na mwili wake unavouskia unajiuliza “attasaaaa… nani amepita hapa?” .
4. 📱 Simu inatumika usiku WA ma8
Ukimpigia usiku, simu inatumika, na akikuta missed hapigi. Kama simu yako anaiona lakini hupati nafasi—someone else is getting the midnight love.
5. 💔 Hajali feelings zako
Ukimtext hajibu, ukimkosea hana presha, ukimweleza unavyojisikia anakwambia “OK, SAWA, USIJALI, UTAZOEA TU NK”. Hiyo ni sign ya mtu ambaye haupo kwenye priority list yake.
6. 🏃♀️ Visingizio Vingi
Ukipanga kuonana nae, unaskia “mama yupo”, “nimechoka”, “niko busy”, "Niko P". Lakini kaka, kwa mtu anayempenda kweli, muda hupatikana 😄.
Anaepuka mawasiliano ya “side guys" —bro, hiyo ni red flag ya kimataifa.
2. 📵 “Usinipost please”
Anaogopa kupostiwa kama vile mwanaharakati. Ukimtag, anakwambia “sipendi attention” kumbe ni asionekane na msela.wake mwngne. Kwako yupo lowkey, kwao ni main chick 😭.
3. 🛏️ Kipochi nyoya kinabadilika ghafla
Unamfeel tofauti—ladha imepotea, vibe haipo, na mwili wake unavouskia unajiuliza “attasaaaa… nani amepita hapa?” .
4. 📱 Simu inatumika usiku WA ma8
Ukimpigia usiku, simu inatumika, na akikuta missed hapigi. Kama simu yako anaiona lakini hupati nafasi—someone else is getting the midnight love.
5. 💔 Hajali feelings zako
Ukimtext hajibu, ukimkosea hana presha, ukimweleza unavyojisikia anakwambia “OK, SAWA, USIJALI, UTAZOEA TU NK”. Hiyo ni sign ya mtu ambaye haupo kwenye priority list yake.
6. 🏃♀️ Visingizio Vingi
Ukipanga kuonana nae, unaskia “mama yupo”, “nimechoka”, “niko busy”, "Niko P". Lakini kaka, kwa mtu anayempenda kweli, muda hupatikana 😄.