Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 22,854
- 32,657
HII INAWEZEKANA NI REKODI MPYA.
Mimi inawezekana ni mara yangu ya kwanza kuona Taifa Stars ikimaliza mchezo dakika zote tisini bila mchezaji yeyote wa Simba kushiriki.
Hii pia inatakiwa viongozi wa Simba wajiulize mara mbili mbili wapi wanakosea, ni ishara kuwa Simba Ina wachezaji wa daraja la chini mno.
Je yawezekana ni uwezo mdg wa wachezaji wa Simba????
Mimi inawezekana ni mara yangu ya kwanza kuona Taifa Stars ikimaliza mchezo dakika zote tisini bila mchezaji yeyote wa Simba kushiriki.
Hii pia inatakiwa viongozi wa Simba wajiulize mara mbili mbili wapi wanakosea, ni ishara kuwa Simba Ina wachezaji wa daraja la chini mno.
Je yawezekana ni uwezo mdg wa wachezaji wa Simba????