Receptionist jobs TRA

kambare mgumu

New Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
3
Reaction score
0
habari wadau. samahanini sana naomba mwenye taarifa kuhusu zile kazi za tra za receptionist tulizoomba zamani sana, vip kuna aliyewahi kuitwa usaili? na tetesi zozote je?
 
Tra na bot,huwa wanachukua muda mrefu sana kuita,so kuwa na subira tu mdau.
 
Bot waliitaga zao hadi leo kimya. Bahati nina kazi ingekua ndo nawaza tu kuitwa mbona nishapata pressure ?????? Vip lakini watoto wa wakubwa pale bado ni kipaumbele kwawale mabepari wa bot ???? Mwenye taarifa atujuze
 
huwa ni magumash wanawekaga kanyaboya wana vimada wao teyari washawapa kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…