Hii timu hata last season ilikuwa inafunga mabao mengi tu, tatizo ilikuwa inakubali kufungwa kiurahisi tu. ndio maana Benitez ameamua kudeal sana na defence.
Hii timu hata last season ilikuwa inafunga mabao mengi tu, tatizo ilikuwa inakubali kufungwa kiurahisi tu. ndio maana Benitez ameamua kudeal sana na defence.
Penalty bila sababu, alichotakiwa kufanya nikunyoosha mikono juu kuomba faulo au kuendelea kucheza tu. Ndio maana mi nakwambia wanauwezo wa kufunga, lakini hawamalizi mechi bila kuruhusu mabao pia.
Real Madrid leading Manchester City 3-1 in Melbourne. Goals from Benzema, Ronaldo and Pepe had opened up a three-goal lead for the Spanish side,. Toure penalty on the stroke of half-time has handed City a slight route back in.
Penalty bila sababu, alichotakiwa kufanya nikunyoosha mikono juu kuomba faulo au kuendelea kucheza tu. Ndio maana mi nakwambia wanauwezo wa kufunga, lakini hawamalizi mechi bila kuruhusu mabao pia.