Huwezi kumuweka T chou bench ata siku moja yeye ndio mtu pekee ni pure holding ukimuweka benchi defensive line itanyumba sana nazani changamoto kubwa Kwa huu mwanzo mwa msimu timu imekosa balance kabisa hasa katika eneo la mbele nimecheki juzi mechi ya la Liga Mbappe amekuja kuvunja structure yote ya timu kocha anataka timu icheze sana kupitia yeye Vin ametengeneza nafasi nyingi sana Kwa Mbappe lakini hakuzitumia kabisa naona bado ana struggle kucheza Ile position ila Rodyrdo na vini combination Yao ilikua imekaa sawa ata Goli alifungua Rodrygo ule mpira ulitoka Kwa Vin na pia tumekosa mtu wa kuziba nafasi ya Toni kroos maana yeye ndio alikua anamua timu icheze Kwa Namna ganikuna hawa vijana gen Z wanaojifanya ni washabiki wa Real Madrid ni vijana wa ovyo sana, toka majuzi nimewakuta twitter wanamshambulia Carlo kwa matusi mazitomazito kuwa hafai, wanataka Tchou na Rodrygo wawekwe bench. wengine wanalilia wanataka Alonso.
kama nakutana nao uso na macho kama hao naweza mzaba hata makofi mawili matatu
Huwezi kumuweka T chou bench ata siku moja yeye ndio mtu pekee ni pure holding ukimuweka benchi defensive line itanyumba sana nazani changamoto kubwa Kwa huu mwanzo mwa msimu timu imekosa balance kabisa hasa katika eneo la mbele nimecheki juzi mechi ya la Liga Mbappe amekuja kuvunja structure yote ya timu kocha anataka timu icheze sana kupitia yeye Vin ametengeneza nafasi nyingi sana Kwa Mbappe lakini hakuzitumia kabisa naona bado ana struggle kucheza Ile position ila Rodyrdo na vini combination Yao ilikua imekaa sawa ata Goli alifungua Rodrygo ule mpira ulitoka Kwa Vin na pia tumekosa mtu wa kuziba nafasi ya Toni kroos maana yeye ndio alikua anamua timu icheze Kwa Namna gani
Nilikuwa ninasubiria kwa hamu nione Arda akicheza kiungo wa kati juu itakuwaje, acha leo tuone alichonacho.Mapema babu kwanza na Guller hii leo.
Bado team inajitafuta sana., bado haieleweki, nilidhani kuwa Arda Guler angecheza juu ya Valverde na Tchouameni, ila na yeye ninaona anatokea sana pembeni, ni afdhali Brahim angeanza kisha Rodrygo akacheza chini ya Washambuliaji ana angecheza Dani Ceballos.Ht 0-0
Embu ngoja tuone maana match ya pili hii tunaona mauza uza bado team haijasimama. Wakati sio team mpya sana.Bado team inajitafuta sana., bado haieleweki, nilidhani kuwa Arda Guler angecheza juu ya Valverde na Tchouameni, ila na yeye ninaona anatokea sana pembeni, ni afdhali Brahim angeanza kisha Rodrygo akacheza chini ya Washambuliaji ana angecheza Dani Ceballos.
Yeah., hapo ninamsubiri Camavinga arudi tuone team itakuwa na muonekano upi.Embu ngoja tuone maana match ya pili hii tunaona mauza uza bado team haijasimama. Wakati sio team mpya sana.
Afadhali man, jamaa wana nidhamu ya ulinzi, so kupiga nje ya box kama hiyo inatatusaidia., kwasababu sioni tukiifungua defence yao.Valvede ashaanza kunyoosha msuli
Wanakaba kinomaAfadhali man, jamaa wana nidhamu ya ulinzi, so kupiga nje ya box kama hiyo inatatusaidia., kwasababu sioni tukiifungua defence yao.