Real estate joint venture

wingman7

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
348
Reaction score
79
Habar wanaJF, natafuta mtu au kampuni ambayo ninaweza ingia nayo ubia wa jenga residential building au commercial building nina plot maeneo ya Kariakoo kwa maelezo zaidi inbox me.
 
Habar wanaJF, natafuta mtu au kampuni ambayo ninaweza ingia nayo ubia wa jenga residential building au commercial building nina plot maeneo ya Kariakoo kwa maelezo zaidi inbox me.

Una eneo lenye ukubwa gani? Na umiliki wako ukoje kwenye eneo husika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…