Samahani uwa sitoi ushauri wa watu wanaosema rafiki yangu oh dada yangu au mshikaji wangu,sorry for dat,next time mwambie rafiki yako ajiunge na JF its free,aje aulize hilo swali,au kama ni wewe ndo unauliza sema unatumia care-off,why ufanye hivyo,mimba sio ugonjwa koku,kama ni ugonjwa mie na wewe tusingezaliwa(nimenukuu kwa mpoto)