Hata pale magamba shule ni primitive sana.umefika ivungwe ?
Shukrani mkuuHata pale magamba shule ni primitive sana.
CHADEMA ni msingi imewachanganya sana hawa MAFISIView attachment 1124189
Hii ni shule ya msingi iliyopo jimbo la Mpanda Mjini kata ya Kasokola , sasa tulitarajia RC mpya wa Kstavi Mtukufu Juma Homera apambane na changamoto hii kwa kuhakikisha shule za tembe zinatokomezwa , lakini badala yake ameamua kupambana na wapinzani .
Amenukuliwa bila aibu kwamba anataka kuona mikutano ya ccm tu mkoani humo na kwamba atahakikisha vyama vya upinzani vinatokomezwa.
Namtabiria anguko kubwa sana !
Hii inaonesha unachokisema sio cha kweli.Mkuu moderator badala ya songwe irekebishwe na kuwa Katavi , natanguliza shukrani
Sasa ikiwa shule iliyopo mjini ina hali kama hiyo, je shule za kule Sitarike, Mwese, nk zina hali gani?View attachment 1124189
Hii ni shule ya msingi iliyopo jimbo la Mpanda Mjini kata ya Kasokola , sasa tulitarajia RC mpya wa Kstavi Mtukufu Juma Homera apambane na changamoto hii kwa kuhakikisha shule za tembe zinatokomezwa , lakini badala yake ameamua kupambana na wapinzani .
Amenukuliwa bila aibu kwamba anataka kuona mikutano ya ccm tu mkoani humo na kwamba atahakikisha vyama vya upinzani vinatokomezwa.
Namtabiria anguko kubwa sana !