Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,236
Hii ni shule ya msingi iliyopo jimbo la Mpanda Mjini kata ya Kasokola , sasa tulitarajia RC mpya wa Kstavi Mtukufu Juma Homera apambane na changamoto hii kwa kuhakikisha shule za tembe zinatokomezwa , lakini badala yake ameamua kupambana na wapinzani .
Amenukuliwa bila aibu kwamba anataka kuona mikutano ya ccm tu mkoani humo na kwamba atahakikisha vyama vya upinzani vinatokomezwa.
Namtabiria anguko kubwa sana !