RC Anna Mghwira: Rais hakusema niachane na Chama changu cha ACT

Tumpe USHIRIKIANO atuvushe salama.Nina imani Kilimanjaro watafaidika na ujuzi wake.
 
Lakini wewe umewatamkia wafuasi wa ACT wanachama wao wasije ofisini kukuona kwa mambo mbali mbali kuhusu chama hicho. Sababu hasa ya kuamua kuitosa ACT ni ipi kama Rais hakukwambia uachane na chama chako!?
Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili... Mathayo 7??
 
Anna Mghwira Hata kwenye vitabu vitakatifu imeandikwa bwana hawataki wavuguvugu, atawatema.

Hata wahenga walisema mpanda punda wawili hupasuka msamba.

Acha tamaa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mghwira anaposema rais hakumwambia aachane na act anamaanisha yeye mwenyewe hana utashi wa kuamua mambo yake? Ina maana hata yeye kugombea urais na umwenyekiti wa ACT alishauriwa na Magufuli?
 
Huyu mama naona kama anaongea sana. bora tu angekaa kimya kwa sasa.
 
Lakini Mbowe anamtumikia Dr. Lilian Mbowe, Joyce Mukya na Wema Sepetu... halthayo 7 haitumiki?
Hizi ni Personal life za watu hazituhusu. Ukitaka hizo utaaibika kwa kuwa michepuko ni bolt and nut kwa wanaume! Nani hachepuki?
 
sasa kila chama kina siri zake za ndani, wewe huoni kama hapa usingeruhusiwa kushiriki baadhi ya maamuzi muhimu ya chama ambocho unatekeleza sera zake, Magu alitaka upembue mbavu na mbichi mwenyewe lazivyo agekutumbua Asubuhi tu. alisema "Siwezi kunteua mpizani kuwa mbunge Kwani akiisha kuwa mbuge hawezi kumtumbua". wewe hapa ulijifunza nini??.
 
Huyu naye anataka nini? Si ajikalie kimya maana tayari alishapata alichokuwa anataka. She is the weaker link this is why she was targeted. Mpinzani wa kweli hawezi kukubali uteuzi wa kwenda kufanya kazi na watu ambao hakubaliani na sera zao. Mimi huwa sikubaliani na haya mambo ya "coalition" ni unafiki tu hakuna lolote. Kila mtu anapaswa kusimamia anachoamini kichwan (her/his philosophy), siyo anachotaka kuweka tumboni mwake.
 
Back
Top Bottom