Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,161
Mhh huyu ray C anatafuta kick za lazima ili arudi tena! Na hayo mapoda sijui bado hayajatoka kichwan
Sembe baya, bora atumie dona
Nora naye anataka kuimba? Snura anawadanganya wenzake kua wanajua kuimba au!
Au ray c amesikia rugay kamchumisha mboga nora!
Huyu m.she.nzi boss wa THT aliposikia m-nako Eyez anakula huyo ray c akawawekea kauzibe na kumnunua ibra had nako ikavunjika na kusababisha album yao ya hawahemi street husle vol.1 isiende sokoni. Ndo akasabaisha kufa kwa mapinduz ya hip hop bongo! Walivyopotea wote kwa poda ndo akatokeza kuwasaidia na kuwapa promo uchwara!
Hahaha kuwa msanii bongo lazima uwe "'msanii"