Hakuna ratio inategemea mmeomba wangapi nafasi moja inaweza kuwa sawa na watu 350!!
Mfano mwezi uliopita kulikuwa na nafasi mbili za planning officer walizotangaza kwa niaba ya IRDP kwenye oral waliita watu 765. Soo 765/3=321! Nadhani nimefafanua vema.
oral ratio yao ni 1:3...maana si kuna siku nafasi zilikuwa 2 tukaitwa 18 oral...tulipoenda kwa oral jamaa ambaye ni mfanyakazi wa utumishi akaja akatuambia walikuwa wamefanya mistake ilitakiwa tuitwe 6..kwani wenyewe ratio yao ni 1:3
Hakuna ratio inategemea mmeomba wangapi nafasi moja inaweza kuwa sawa na watu 350!
Mfano mwezi uliopita kulikuwa na nafasi mbili za planning officer walizotangaza kwa niaba ya IRDP kwenye oral waliita watu 765. Soo 765/3=321!
Nadhani nimefafanua vema.