Ratiba ya kidato cha nne imebadilishwa?

Ratiba ya kidato cha nne imebadilishwa?

juma mkilindi

Senior Member
Joined
Jul 1, 2015
Posts
167
Reaction score
2
Jaman naombeni kujua kua Kuna ukwel wowote juu ya kwamba ratiba ya kidato cha nne imebadilishwa ni tarehe 12/10 badala ya tarehe 2/11?
 
Kiongozi Ratiba ya NECTA haijawahi kubadilishwa na chochote kile.
 
..hivi form 4 hawajafikisha umri wa kupiga kura.?!
 
Jidanganyeni tu..ratiba ipo palepale...kazana kusoma achana na wanasiasa wana maisha yao tayari..best lucky
 
Sio kweli ila ni kwa baadhi ya masomo hasa hasa ya practical yatafanyika mwezi wa kumi
 
Sio kweli ila ni kwa baadhi ya masomo hasa hasa ya practical yatafanyika mwezi wa kumi

Kuna masomo kila mwaka yanawahi kufanyika na siyo mwaka huu tu nayo ni yale ya Chakula na Lishe. Acha wajidanganye tu
 
when the water pouring down con not be fatched again.form four jiandaeni kufanya mtian tarehe ni ile ile mungu awabaliki sana katika jina la yesu.
 
Back
Top Bottom