Rastafari na elimu

Ngiriwater

New Member
Joined
Sep 29, 2020
Posts
4
Reaction score
1
Hivi ni kwanini Serikali na jamii isiruhusu watu wa jamii ya Rasi (Rastafari) kuruhusiwa kusoma na nywele zao hasa katika ngazi ya elimu ya chuo? Waruhusiwe kusoma na kupractise medicine ( Udakitari wa Binadamu).
 
Inamaama Ras haruhusiwi kupiga Medicine!?
 
Nilishawahi kutana na dokta Rasi hospitali ya serikali, na nimesoma chuo na Rasi.
 
Nimewahi kufanya kazi na rasi, mhandisi Makongoro kisiwani ukerewe. Alikuwa mkuu wa idara ya ujenzi.
 
Kipindi nipo A level kuna dogo alikuja Rasi form one pale shule.

Walio soma st.matthews miaka ya 2005 wanaweza kumbuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…