382
Sio Monduli tu, Arusha, na maeneo mengi ya umasaini CCM imelamba garasha. Hakuna kitu tena. Hata waliobaki ni wamebaki ili kukiliza CCM sawasa. Watu mpaka wamelia halafu wewe unazani CCM itaendelea kupendwa na Team Loawassa. Nimepata taarifa pia Iringa, Dodoma, Mbeya, Mwanza. Masalia yaliyobaki ni ili kukimaliza sawasawa.