Rashid Athumani
Member
- Jan 1, 2014
- 63
- 42
Ili biashara yako itambulike kisheria inahitajika isajiliwe na usajili unafanyika kwa kutumia system ya BRELA ORS. Ili uweze kufanikisha usajili huu unahitajika uwe na namba ya NIDA na TIN kwa usajil wa Kampuni. Kwa usajili wa jina binafsi la biashara ni namba ya NIDA tu inatosha.
Vitu vingine ili usajili wako uweze kukamili, kwa Kampuni;
1. Memarondum and Articles of Association
2. Letter of Compliance
Hivi vyote vitahitajika visainiwe na Mwanasheria. Usisubili mpaka tenda zitangazwe ndio ufanye maamuzi ya usajili maana utajikuta muda unakuacha na usajili wako haujakamilika, anza sasa.
Wasailina nasi kwa maelezo zaidi namba 0718 887 102/0755 440 118
Karibu sana
Vitu vingine ili usajili wako uweze kukamili, kwa Kampuni;
1. Memarondum and Articles of Association
2. Letter of Compliance
Hivi vyote vitahitajika visainiwe na Mwanasheria. Usisubili mpaka tenda zitangazwe ndio ufanye maamuzi ya usajili maana utajikuta muda unakuacha na usajili wako haujakamilika, anza sasa.
Wasailina nasi kwa maelezo zaidi namba 0718 887 102/0755 440 118
Karibu sana