Tetesi: RAS Singida atoa notice ya kuwafukuza kazi watumishi zaidi ya 20 kwa kufoji vyeti

Acha uongo umesema amefanya kazi zaidi ya miaka 30 wakati huohuo unasema alifoji miaka 1998. Acha kutudanganya
”Alifoji cheti 1998 kulikompelekea kusoma cheti na diploma anayoifanyia kazi hivi sasa". Kama unashindwa kuelewa hapo,basi wewe ni ZERO,oh samahani,wewe ni Bashitian.
 
Alifoji vyeti mwaka 1998.
Kisha kaitumikia serikali kwa miaka zaidi ya 30. Hesabu imenipoteza hapo. Ila kuhusu usahihi wa taarifa mimi siyo Tomaso
"Alifoji cheti mwaka 1998,akasoma cheti na hatimaye diploma anayoifanyia kazi sasa". Wapi hujaelewa? Bashitian nini wewe? Mimi kuna mjomba wangu alikuwa ni darasa la saba,ulipotoka waraka wa serikali kuwa waajiriwa wote wa serikali wawe kidato cha nne,alisoma QT halafu akafanya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2003. Wakati waraka unatoka,alikuwa ni dereva wa taasisi fulani kwa muda wa miaka 9. Mpaka sasa bado ni dereva wa hiyo taasisi. Kwa hiyo hesabu ya utumishi wake wa serikali unaanzia wapi?
 
Bashite hata akisikia kuna watu wamefoji vyeti itabidi akaushe tu maana akijifanya mjuaje watu watamwambia ukweli.
 
1998 to 2017 ni miaka 19 ndg. Punguza makali basi eti zaidi ya 30!!
 
Reactions: e2n
Unaongeza Mapembe Uote Bashite

[HASHTAG]#BashiteOnyeshaVyeti[/HASHTAG]
[HASHTAG]#AchaManenoOnyeshaVyeti[/HASHTAG]
 
Mtu ambaye ni mtumishi zaidi ya miaka 10 huyo ana uzoefu masuala ya kutaka cheti chake si sawa labda kama utendaji kazi wake ni mbovu
 
Acha uongo umesema amefanya kazi zaidi ya miaka 30 wakati huohuo unasema alifoji miaka 1998. Acha kutudanganya
Kama alikuwa anafanya kazi kama mlinzi halafu baadae akajiendeleza, alichokisema mwanzisha mada kinaeleweka
 
Wanaomba msaada wa nini,waondoke tu.Kinachofuata ni kupelekwa mahakamani kwa tuhuma za kuiibia serikali na kutakiwa kulipa hela zote walizoiba with interest!Nawahurumia sana. Lakini my question is why did they do it for God's sake? Ni tamaa tu za kijinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…