Rangers Madishi...

deoranger14

Member
Joined
Oct 1, 2014
Posts
11
Reaction score
0
Mawakala wa ving'amuzi vyote na tunawatangazia ofa ya ticket ya mechi ya mpira wa kesho, kati ya watani wa jadi Wekundu wa msimbazi Simba Sports Club na Dar Youngs African watoto wa jangwani. Nunua dishi pamoja na king'amuzi kwa 165,000 utapata na ticket bure.
Address: Magomeni Mapipa mkabala na barabara ya Morogoro, tunatizamana na Bank ya Diamond Trust. Piga simu number: 0753147494. 0747216792
 

Nimekusoma mtoto wa beka ranger
 
Kaka tutanafanya juhudi kuweza kuwafikia nanyi huko pia. nachid
 
Last edited by a moderator:
Dishi zenu ni za aina gani? na zina ukubwa gani?

Chaneli ngapi zinapatikana.

Zina malipo ya mwezi, kama ndiyo, gharama zikoje?

Ni spesho kwa mchezo wa simba na yanga, mchezo ukiisha nazo zinaishia?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…