Alikuwa na ndoto ya kumiliki hii gari miaka miwili iliyopita tarehe kama ya leo alipost gari hyo Envoque RR kama PIC OF THE DAY na akasema Roho yake inachomoka(imekufa) kwa hiyo gari mungu mkubwa tar kama hyo yani 19 January 2014 kapost kwenye facebook as her new ride,ndio maana tunasema "Dream Big" jamani
Imepita na speed ya 180 hakuna mtu aliyeiona.
:focus:
Diamond inabidi aachane na Ma-Toyota watu wenye hela wanatembelea magari ya maana achana na V8 fanya kama JIDE unavuta RR then Escalade then Lincoln Navigator then tunaenda hadi Maybach au Aston Martin.
safi sana JD.....unajua sometimes its not about PRICE....its about quality,attention to details and class!!na hapa umeonyesha una quality,attention to details na class kwenye magari......from MURANO to ENVOQUE CONGRATS.....
safi sana JD.....unajua sometimes its not about PRICE....its about quality,attention to details and class!!na hapa umeonyesha una quality,attention to details na class kwenye magari......from MURANO to ENVOQUE CONGRATS.....