and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,225
- 39,713
Kwakweli Rama atahenyeshwa Sana Swamu hii serikali itakua haina utulivu.Mheshimiwa Rais Cyril Ramaphosa anarajiwa kuapishwa kama Rais wa Afrika Kusini kwa awamu yake ya pili. Kama mwanachama wa SADC mwenzetu twendeni tukashuhudie na kumpongeza.
NB. Wasanii, Wastaafu andaeni suti
Tulia uone kazi bungeni. ANC watam-recall na kuteua mwingine chap. Wasipokua makini DA (wazungu) watarejea kama Zama za ubaguzi wa rangiKwakweli Rama atahenyeshwa Sana Swamu hii serikali itakua haina utulivu.
Ningekua ni yeye nisingekubali kuachiwa hilo zigo ningepumzika chap.
Uwezekano wa yeye kumaliza muhula wake wa Pili salama ni mdogo sana kupita kiasi. Tusubiri tuone.Mheshimiwa Rais Cyril Ramaphosa anarajiwa kuapishwa kama Rais wa Afrika Kusini kwa awamu yake ya pili. Kama mwanachama wa SADC mwenzetu twendeni tukashuhudie na kumpongeza.
NB. Wasanii, Wastaafu andaeni suti
Ni kweli. Na pia Kwa mustakabali wa ANC Ni Bora kumtoa. Wapinzani (Muungano) Wana Wabunge zaidi ya 50%Uwezekano wa yeye kumaliza muhula wake wa Pili salama ni mdogo sana kupita kiasi. Tusubiri tuone.
Weusi wenyewe wazawa hawamkubali. Maana anafagilia wageni weusi waendelee kufaid mazuri ya SAChama cha Malema ni chama cha kibaguzi, hakitambui mchango wa wazungu katika kujenga Afrika, akiingia madarakani atagombana na wazungu
PoleniHiyo nchi muda si mrefu anarudi kaburu, hao wangoni waliochangamka imewashinda
Wangoni oyeeHiyo nchi muda si mrefu anarudi kaburu, hao wangoni waliochangamka imewashinda