Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee!!4 bedroom house
Fits on 450Sqm and above
Kitchen&kitchen store
Dinning room and sitting room
Public toilet
For more info contact me on 0764634423,0785788647View attachment 1236345View attachment 1236346
Weka picha za TZ basi. Hizo za Ulaya Mkuu!!4 bedroom house
Fits on 450Sqm and above
Kitchen&kitchen store
Dinning room and sitting room
Public toilet
For more info contact me on 0764634423,0785788647View attachment 1236345View attachment 1236346
Tangazo lako ni Zurii lakini bila bei ni sawa na gari bila mafuta4 bedroom house
Fits on 450Sqm and above
Kitchen&kitchen store
Dinning room and sitting room
Public toilet
For more information contact me on 0764634423,0785788647
View attachment 1236345View attachment 1236346
Ooh wow!
Honest ramani ipo poowah sana....I like it.
Sema ndugu yangu swapta, naomba nikushauri ufanye uboreshe wa matangazo yako, ili yaweze kuwashawishi wengi, pindi wayaonapo!
Let's say, unaweza ukatuletea ramani kama hiyo, ikiwa na bei yake, estimation cost za ujenzi, specifications zake n.k
Kwa kufanya hivyo, utawafanya hata wale, waliokuwa hawana mpango na hiyo kitu....kujikuta wanaanza kuset mipango. At the end of the day, utajikuta unazidi kukuza soko la bidhaa zako.
Note:
Ni ushauri tu, na sio kwamba unafundishwa kazi....
Ni hayo tu....asante!
Umekimbilia wapi wewe? Mbona hujibu maswali kuhusiana na biashara yako?4 bedroom house
Fits on 450Sqm and above
Kitchen&kitchen store
Dinning room and sitting room
Public toilet
For more information contact me on 0764634423,0785788647
View attachment 1236345View attachment 1236346
Atakuwa ameweka Kila Kitu hadharaniOoh wow!
Honest ramani ipo poowah sana....I like it.
Sema ndugu yangu swapta, naomba nikushauri ufanye uboreshe wa matangazo yako, ili yaweze kuwashawishi wengi, pindi wayaonapo!
Let's say, unaweza ukatuletea ramani kama hiyo, ikiwa na bei yake, estimation cost za ujenzi, specifications zake n.k
Kwa kufanya hivyo, utawafanya hata wale, waliokuwa hawana mpango na hiyo kitu....kujikuta wanaanza kuset mipango. At the end of the day, utajikuta unazidi kukuza soko la bidhaa zako.
Note:
Ni ushauri tu, na sio kwamba unafundishwa kazi....
Ni hayo tu....asante!
Umekimbilia wapi wewe? Mbona hujibu maswali kuhusiana na biashara yako?
Weka picha za TZ basi. Hizo za Ulaya Mkuu!!
Safi sana nimeona jamaa moja kaijenga hii nyumba huku dodoma, sehemu mmoja inaitwa makulu Njia y kwenda udom. sasa mzee tupe ngarama yake mjengo kama huo mpaka umalizike..
Mleta uzi, wewe unaishia kwenye kuchora tu ama unajenga pia? Nipatie makadirio ya ujenzi wa hiyo nyumba hadi kukamilika.