Ramani za nyumba kwa bei nafuu

swapta

Member
Jul 10, 2016
14
11
4 bedroom house
Fits on 450Sqm and above
Kitchen&kitchen store
Dinning room and sitting room
Public toilet
For more information contact me on 0764634423,0785788647

F.jpeg
O.jpeg
 
Safi sana nimeona jamaa moja kaijenga hii nyumba huku dodoma, sehemu mmoja inaitwa makulu Njia y kwenda udom. sasa mzee tupe ngarama yake mjengo kama huo mpaka umalizike..
 
Hizi nyumba watu naona wanaziponda kuwa hazifai. Ingawa naona zinaweza kuokoa gharama kubwa za ujenzi, ila vipi gharama za maintenance?
 
Ooh wow!
Honest ramani ipo poowah sana....I like it.

Sema ndugu yangu swapta, naomba nikushauri ufanye uboreshe wa matangazo yako, ili yaweze kuwashawishi wengi, pindi wayaonapo!

Let's say, unaweza ukatuletea ramani kama hiyo, ikiwa na bei yake, estimation cost za ujenzi, specifications zake n.k

Kwa kufanya hivyo, utawafanya hata wale, waliokuwa hawana mpango na hiyo kitu....kujikuta wanaanza kuset mipango. At the end of the day, utajikuta unazidi kukuza soko la bidhaa zako.

Note:
Ni ushauri tu, na sio kwamba unafundishwa kazi....

Ni hayo tu....asante!
 
Ooh wow!
Honest ramani ipo poowah sana....I like it.

Sema ndugu yangu swapta, naomba nikushauri ufanye uboreshe wa matangazo yako, ili yaweze kuwashawishi wengi, pindi wayaonapo!

Let's say, unaweza ukatuletea ramani kama hiyo, ikiwa na bei yake, estimation cost za ujenzi, specifications zake n.k

Kwa kufanya hivyo, utawafanya hata wale, waliokuwa hawana mpango na hiyo kitu....kujikuta wanaanza kuset mipango. At the end of the day, utajikuta unazidi kukuza soko la bidhaa zako.

Note:
Ni ushauri tu, na sio kwamba unafundishwa kazi....

Ni hayo tu....asante!

Asante sana mkuu nimekuelewa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta uzi, wewe unaishia kwenye kuchora tu ama unajenga pia? Nipatie makadirio ya ujenzi wa hiyo nyumba hadi kukamilika.
 
Ooh wow!
Honest ramani ipo poowah sana....I like it.

Sema ndugu yangu swapta, naomba nikushauri ufanye uboreshe wa matangazo yako, ili yaweze kuwashawishi wengi, pindi wayaonapo!

Let's say, unaweza ukatuletea ramani kama hiyo, ikiwa na bei yake, estimation cost za ujenzi, specifications zake n.k

Kwa kufanya hivyo, utawafanya hata wale, waliokuwa hawana mpango na hiyo kitu....kujikuta wanaanza kuset mipango. At the end of the day, utajikuta unazidi kukuza soko la bidhaa zako.

Note:
Ni ushauri tu, na sio kwamba unafundishwa kazi....

Ni hayo tu....asante!
Atakuwa ameweka Kila Kitu hadharani
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom