Engineer mkuu
Member
- Oct 11, 2014
- 99
- 21
Tunachora Ramani za Nyumba za kisasa kwa bei nafuu sana piga simu/ WhatsApp 0717 040837
Weka hata sample ya servant quarter tuone
Weka hata sample ya servant quarter tuone
Ukiona sample ndio uibebe ukajenge, cha kufanya wewe ni kuanisha requirements zako ili iandaliwe
Sijui nini kimekusibu Jerhy naona siku hizi umekuwa mkali sana!
Tunachora Ramani za Nyumba za kisasa kwa bei nafuu sana piga simu/ WhatsApp 0717 040837
Nitakucheki mkuu
poa kamanda
nyumba inaanzia kwa mhitaji unakuwa na idea kwamba itakuwa hivi na vile kisha unapeleka mawazo yako kwa Architect nae anayaboresha kiutalam zaidi, sasa ukisema leta sample tuione.... haitoshi kwani unacholetewa kinaweza kuwa sio unachofikiria wewe kiwe,..... ni hilo tu
Mimi sikubaliani na wewe, kwa sababu nikishajua ninachotaka nikutafute wewe ili iweje? Mm nnachofahamu ni kwamba kuna baadhi ya watu hawana idea kabisa kuhusu kuchora raman hata ya nyumba yake, ila unapompa sample ndipo atakapokuambia iko sawa, Punguza au ongeza hiki, sasa ww unataka mm niwe na idea naitoa wapi?
weka sampe moja hapa iwe na chumba cha library