Ramani (3 rooms, Sebule, Jiko, dinning, Toilet, Bathroom )

Ramani (3 rooms, Sebule, Jiko, dinning, Toilet, Bathroom )

Hauna ramani nyingine ukaweka hapa tuone Mzee hiyo uliyo weko iko powa sana weka na nyingine plz!!
 
Gharama yake hiyo nyumba kwa dar inwaeza kula sh ngapi sasa hivi?
 
Based on your experience unadhani inakula 30Million ,40 m etc assuming ujenzi wa watu wa kawaida siyo wa akina diomond and the likes
 
Je! inachukua eneo la ukubwa wa kiasi gani (i.e urefu*upana)? Je! kwenye ramani zako unatoa na estimate za materials yatakayotumika?
 
Je! inachukua eneo la ukubwa wa kiasi gani (i.e urefu*upana)? Je! kwenye ramani zako unatoa na estimate za materials yatakayotumika?

hii inachukua size ya mita (15*12.5) , cost estimates za material zitakazotumika nafanya kuanzia foundation hadi juu... kasoro roof tu caz roof ziko various.roof nitakupatia dimensions zake ambazo itakusaidia na fundi wako kupata idadi ya mabati kulingana na bati utazotumia
 
Good.

Ungefanya na labeling ya hivyo vyumba ili wateja wakuelewe kwa urahisi.

Chumba ambacho nahisi ni jiko, ni kidogo kwa sababu sehemu kubwa itatumika kwa circulation - milango minne! Fikiria zaidi hapo.
 
hilo jiko ni dogo kulingana na mahitaji ya huyo mteja hasa ukubwa wa kiwanja chake ulibana, mteja mwingine atakuwa na specification zake
Okay nakuelewa. My point was, ungeweza kumantain the same floor area lakini ukalifanya likawa more useful.
 
Ramani za ghorafa moja mkuu vipi naomba nione sample na abc zake mkuu.natanguliza shukrani.!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom