RAM 4GB Hard Disk 300GB

RAM 4GB Hard Disk 300GB

Given Edward

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2011
Posts
850
Reaction score
203
Wakuu nataka kununua RAM ya 4GB na hard disk ya 300GB. Je, hivi vyote kwa dar nitapata wapi na kwa how much?
 
Wakuu, nahitaji msaada.
Hard disk kama ni SATA inaenda kwenye laki na nusu na Ram kama ni ddr2 inakuwa kwenye laki hadi laki na nusu nenda Zawadi technology opp na club ya Simba Kariakoo
 
Wakuu nataka kununua RAM ya 4GB na hard disk ya 300GB. Je, hivi vyote kwa dar nitapata wapi na kwa how much?

Nunua computa mpya mkuu, utaitwisha mzigo iwapo haikuwa na specification hizo mwanzo. Kama vp nenda ata sunrise utapata
 
NI computer aina gani unayotaka kuiupgrade kaka/ Shusha Specifications zake zote hapa wadau watakushauri kwa mapana zaidi!
 
Windows xp sp3 / compaq (desktop)
1gb ram, 20gb hdd (sio yangu)
 
Windows xp sp3 / compaq (desktop)
1gb ram, 20gb hdd (sio yangu)
Yaani kwa hizo specifications ningekushauri ununue hard disk peke yake kwani nadhani processor speed yake haizidi 2.0 Ghz so kwa hiyo speed inafaa iwe na angalau na 1 GB ram, hiyo ya 4 GB ram inafaa proccesor iwe dual core ndio itasukuma mzigo vizuri.
 
The thing ni kwamba model ya cpu iliundwa kwa vista nika downgrade. Nataka ni reinstall vista.
 
Du, kumbe una ishu nyingi! Ni vizuri ukawaona watalaamu kuliko ivyo unavyotaka kufanya! Iyo short cut itakugharimu zaidi, hapo ni kama kulazimisha nokia 3310 iwe na bluetooth. Ni vizuri uwe na uhakika una processor yenye nguvu kiasi gani.
 
Back
Top Bottom