Rais wetu anazindua ukuta wa Mirerani, Kazi za mawaziri ni nini? Kwani kuzindua ni lazima?


Siku anaagiza ukuta ujengwe mbona hukuja hapa kuuliza mawaziri wako wapi? Watu hamkosi cha kukosoa.
 
Kumbuka mikoa ya kanda ya ziwa ilikuwa imesahaulika kwa miongo mingi,ndio maana wananchi wa kanda hii walimpigia kura kwa wingi.
Kakudanganya nani huko ndiko walikompa kura nyingi. Ungesema huko ndiko alikoiba kura nyingi ungeeleweka zaidi. Pia hakuna mkoa uliosahaulika ila watu wa mikoa hiyo walijisahau.. ww unazani Maendeleo ya kaskazinin yaliletwa na serikali. Watu walijitambua mapema wakachangamkia fursa wakaboresha kwako. na hadi Leo wanaendeleza kwako. Mfano tu: Mchaga hawezi jenga mjini kabla hajajenga kwao. Kwa hyo maendeleo ni tabia ya mtu kama ilivyo usafi. Kama huna tabia hyo hata uletewe nn havitadumu...watu watarudi square one.
 
Unagemjua aliyeagiza kujengwa ukuta huo ili kuzuia utoroshaji wa madini wala usingeuliza.
We mjanjaaa umemtetea Jpm kwa kijanja .aliagiza yy Na mengi Ni yy swali lazima vyote afungue yy wasaidizi wake VP.
Gharama ya yy kwenda Ni kubwa kuliko wasaidizi tena w mikoa husika.
Fanya research
 
Bado unaota wewe,zinduka dada!
Humo ndani kuna mabenki,Tra,wakala wa jiolojia
Getini kutakua na scanner za hali ya juu,achana na fikra hasi na mawazo mgando kuwa hatuwezi kudhibiti madini yetu
 
Na unafuatilia maisha ya JPM yanakuhusu nini?
Kiherehere muwe mnawapelekea waume zenu
 
Kuzindua ni lazima, ndege tunazindua, ukuta tunazindua, ilani tunazindua, everything!!
 
Ameamua kuwa hizo ndo kazi zake lakini hilo sio lengo bali hapa ni yupo kwenye kampeni zake binafsi za Urais na Chama pia....anajihami..
 
Acha mfalme afanye anavyotaka!
Imekuuma kula sumu!
 
Ungeijua thamani ya huo ukuta kwa nchi yako wala usingediliki kuyasema haya ila kwasababu hamna kitu wala hatutakushangaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…