Rais wetu 2015 ni .....

Ndio mjue TB JUSHUA na Gwajima matapeli tu. TB JUSHUA ana kesi ya kujibu kwa jumba lake lililoporomoka na kuua watu waliokuwa wanasubiri utapeli wake.

Inatokea mara chache watu wanatabiri ikawa.
 
Hapa sasa huoni kwamba unapoteza muda mwingi kujidanganya mwenyewe. Hata kama ungekuwa CCM damu.. Hakuna mtu anaye kuwekea kisu mapajana ukampigie kura Lowassa. Wapo watu kama mimi ambao huwezi kunidanganya lolote kuhusiana na huyu ---- Magufuli. Hapa CCM wameokota dodoki mzee. Hawezi kuwa Rais wa Tanzania.
 
Hongera Dr. John Pombe Joseph Magufuli. Tunangoja nchi ya viwanda na mahakama za mafisadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…