Lakini washa na huyu mbunge wa Igunga mbona anaonekana kuongoza nchi kwa remote control? Hasa pale anaposimama na kutetea malipo dhuluma ya Dowans kwa walipa kodi wa tz?
Lakini washa na huyu mbunge wa Igunga mbona anaonekana kuongoza nchi kwa remote control? Hasa pale anaposimama na kutetea malipo dhuluma kwa walipa kodi wa tz?
Lakini washa na huyu mbunge wa Igunga mbona anaonekana kuongoza nchi kwa remote control? Hasa pale anaposimama na kutetea malipo dhuluma kwa walipa kodi wa tz?
Lakini washa na huyu mbunge wa Igunga mbona anaonekana kuongoza nchi kwa remote control? Hasa pale anaposimama na kutetea malipo dhuluma kwa walipa kodi wa tz?
Afadhali yako ww mi nivuta hisia alipokuja St. Thomasi school huko Igunga mwaka 2000 kukampeni akiwa amevaa jinsi kama mhuni, nilimtwanga swali kuhusu ubovu wa barabara akanizawadia tsh. 1000/= eti nimeuliza swali ambalo lilikuwa kwenye mchakato wa Ilani zake, alaniwe huyu popo.
Kwao ni IRAN, Inasemekana aliletwa na mama CT Mmwinyi akimsaidia kwny biashara zake akaunganishwa na familia 1 ya huko MWISI wilayani IGUNGA yenye asili ya kiburushi kama wajombaze, mbunge wa igunga alipo fariki alipigiwa debe na selikali ya mzee ruksa akawa mbunge tangu muda huo, na sasa amekuwa raisi wa jamhuri ya TZ asie rasmi kwa miaka 6 sasa! :A S 20::sick: