Kaputula La Marx
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 562
- 494
Rais Kim Jong Un wa Korea Kaskazini Amemuapisha Mwanae Wa Kiume Kim Lau Jong Un II Mwenye Umri Wa Miaka 9 Kuwa Luteni Wa Jeshi La Nchi Hiyo Yakiwa Ni Maandalizi Ya Kumuandaa Kijeshi Mtoto Huyo Ili Baadae Awe Mkuu Wa Majeshi Wa Nchi Hiyo.
Kabla Ya Kuapishwa Kim Lau Jong Un II amepitia mafunzo ya kijeshi akiwa na umri wa Miaka 7 na kufaulu ngazi ya ofisa wa Jeshi. Mtoto huyo hajasoma Elimu ya shule yeyote zaidi ya Elimu ya kijeshi.
Kim Lau Jong Un II anaweka historia ya kuwa Afisa Mwanajeshi Mwenye Umri Mdogo kuliko maofisa wote wa cheo cha Luteni jeshini Dunia Nzima.
Kabla Ya Kuapishwa Kim Lau Jong Un II amepitia mafunzo ya kijeshi akiwa na umri wa Miaka 7 na kufaulu ngazi ya ofisa wa Jeshi. Mtoto huyo hajasoma Elimu ya shule yeyote zaidi ya Elimu ya kijeshi.
Kim Lau Jong Un II anaweka historia ya kuwa Afisa Mwanajeshi Mwenye Umri Mdogo kuliko maofisa wote wa cheo cha Luteni jeshini Dunia Nzima.
